Waliomaliza form four 2013 ingieni hapa

QUONSIOUS BOY

Member
Joined
May 18, 2014
Posts
33
Reaction score
1
Wana Jf wenzangu mliohitimu kidato cha nne 2013,nimepata tetesi ya kua tarehe 26 mwezi mei ndio selection zilitakiwa ziwe aut but naibu wazir alikhairisha hadi hapo itakapo fika tarehe 10 june,kwa habari zaid tembelea tovuti ya WWW.GOOGLE.COM
 
Wana Jf wenzangu mliohitimu kidato cha nne 2013,nimepata tetesi ya kua tarehe 26 mwezi mei ndio selection zilitakiwa ziwe aut but naibu wazir alikhairisha hadi hapo itakapo fika tarehe 10 june,kwa habari zaid tembelea tovuti ya WWW.GOOGLE.COM

mkuu hiyo google utajuaje kuhusu kuahirisha kwa Naibu Wazir!
Fafanua hapo kidogo.
 
Aaah, hata hawaeleweki wacha 2endelee kuxubir 2taona watatupeleka wap?,
 
Wana Jf wenzangu mliohitimu kidato cha nne 2013,nimepata tetesi ya kua tarehe 26 mwezi mei ndio selection zilitakiwa ziwe aut but naibu wazir alikhairisha hadi hapo itakapo fika tarehe 10 june,kwa habari zaid tembelea tovuti ya WWW.GOOGLE.COM

kijana jifuze kwanza kuandika hapa siyo Facebook !!!!!! endelea kusubiri selection zitatoka usiwe na akili kama kuku Wa kienyeji
 
sasa hiyo google.com ni website au ni searching engine... Hivi huwa mnazingatia TEHAMA mlizosoma std 7
 
Tehama yenyewe ya computer ya kuchora ubaoni
hawa watoto wazembe sasa ulimwengu wa digital kama wanavyouita wenyewe halafu mtu anashindwa hata kuweka link mahususi anakupa searching engine? kwani kutumia fb kawafundisha nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…