Saidy Januzaj
Member
- Apr 13, 2014
- 69
- 10
ngugu hebu nishaurini.matokeo yangu ni kama ifuatavyo
math-D
phy-D
chem-D
bios-C
kisw-B
engl-C
civ-C
geo-C
hist-D
arabic-B
katika sel 4m first choice nilijaza college.je naweza kuchukuliwa?
na vp kuhusu post bado hazijatoka?au..
Kwa dit minimum qualifications ni uwe na d ya eng,math na d moja ya phy au chem
Yeah nimecheck sasa fresh kwny web yao,ni kweli kumbe Mr.fungi,thanks
just download application form yao ijaze vizur then warudishie chuon ukiambatanisha na paying slip
You are welcomeThank you, pamoja sAAAna
ngugu hebu nishaurini.matokeo yangu ni kama ifuatavyo
math-D
phy-D
chem-D
bios-C
kisw-B
engl-C
civ-C
geo-C
hist-D
arabic-B
katika sel 4m first choice nilijaza college.je naweza kuchukuliwa?
na vp kuhusu post bado hazijatoka?au..
hahaha hongera kijana kama unajua unajua tu ata kama ukisoma mtaroni
Pamoja kaka Kakaze EGM inatoa !
Japo mi second choice ni PCB tu nothing else
KUTOKA BUKOBA sec.,natarajia kupiga comb. ya ECA,....TUJUANE