Waliomaliza Form Four 2013 Njooni Hapa Tusalimiane !

Waliomaliza Form Four 2013 Njooni Hapa Tusalimiane !

kama unataka kwenda DIT Ingia website ya DIT kaangalie form nadhani walitoa mda mrefu ! Sidhani kama hujachelewa !

Ila vyuo ni vingi sio DIT pekee

kuna Mbeya, Arusha, na Dar hapo vipo viwili !

Kaangalie ukishindwa kuelewa ni PM nikusaidie !

Websites hizi apa chini

DIT ==> DIT Home

MUST (mbeya) ===> Mbeya University of Science and Technology | home page

ATC (arusha) ====> ARUSHA TECHNICAL COLLEGE : Skills make the difference

Nime angalia ATC requirements zao kwa acces corse (pre-entry) D katika Phys,math,chem,bio,engl or other technical subjects kwa hiyo hapo inakuaje kwa hizo maks zangu phy-E,chem-D,bio-D,eng-D,geog-D,math-F Vp nijaribu kufanya maombi? labda wanaweza wakanifikiria? au? msaada tafadhal SNIPA
 
Nime angalia ATC requirements zao kwa acces corse (pre-entry) D katika Phys,math,chem,bio,engl or other technical subjects kwa hiyo hapo inakuaje kwa hizo maks zangu phy-E,chem-D,bio-D,eng-D,geog-D,math-F Vp nijaribu kufanya maombi? labda wanaweza wakanifikiria? au? msaada tafadhal SNIPA


Haitawezekana Bro !
Mana huwa wanafuata ! Sheria !
 
Nime angalia ATC requirements zao kwa acces corse (pre-entry) D katika Phys,math,chem,bio,engl or other technical subjects kwa hiyo hapo inakuaje kwa hizo maks zangu phy-E,chem-D,bio-D,eng-D,geog-D,math-F Vp nijaribu kufanya maombi? labda wanaweza wakanifikiria? au? msaada tafadhal SNIPA

Kijana huwezi pata nafasi technical college yoyote kwa f ya math mwaka jana kuna mtu alikuwa na 4 point 26 alikuwa na bios c chem c phy d na math f masomo mengine yote alikuwa na d aliomba laboratory dit pre entry lakini hawakumchagua
 
Kijana huwezi pata nafasi technical college yoyote kwa f ya math mwaka jana kuna mtu alikuwa na 4 point 26 alikuwa na bios c chem c phy d na math f masomo mengine yote alikuwa na d aliomba laboratory dit pre entry lakini hawakumchagua

Nashukuru kwa taarifa hiyo
 
Wale wanaotaka ku apply DIT hujachelewa tarehe ya mwisho n 20 june.Kuna additional ya coure mpya kama food science,film&multimedia&communication systems technology.
 
Wale wanaotaka ku apply DIT hujachelewa tarehe ya mwisho n 20 june.Kuna additional ya coure mpya kama food science,film&multimedia&communication systems technology.


Hii multimedia hii naipenda sana ! Japokuwa sitaki iwe kama proffesional yangu ! Rasmi
!
 
Hongereni madogo.. kazeni msuli A-Level, kusoma ni kuelewa na kukesha ni mbwe mbwe
 
ungejaribu ku apply chuo cha maji ubungo(WDMI)kuchaguliwa kutoka shule direct ni impossible

je naweza kutuma application kwa kutumia email yao? au ni lazima niende hadi chuoni? msaada mkuu
 
Hivi inakuaje kuhusu division zenu 5,class E na F?
 
kwahiyo zimewekwa kuuishwa sura au nini?


Hizo ni Tricks za Goverment tu kuongeza Division Four ! Na kupunguza Zero

Mana mwenye Four huesabika kama kapass !
Na mwenye zero kama ka fail
 
Hizo ni Tricks za Goverment tu kuongeza Division Four ! Na kupunguza Zero

Mana mwenye Four huesabika kama kapass !
Na mwenye zero kama ka fail
funika kombe mwanaharamu apite inaitwa hiyo
 
je naweza kutuma application kwa kutumia email yao? au ni lazima niende hadi chuoni? msaada mkuu

just download application form yao ijaze vizur then warudishie chuon ukiambatanisha na paying slip
 
Back
Top Bottom