nyakahanga
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 240
- 65
Salaam wadau,
Kuna mdogo wangu kamaliza form six mwaka huu ananiuliza kila siku kuwa kuna uwezekano wizara ya elimu ikafungua upya maombi ya kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya diploma kwa mwaka huu?
mwenye taarifa tafadhali aweke hapa
Kuna mdogo wangu kamaliza form six mwaka huu ananiuliza kila siku kuwa kuna uwezekano wizara ya elimu ikafungua upya maombi ya kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya diploma kwa mwaka huu?
mwenye taarifa tafadhali aweke hapa