kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,398
Endelea kuamiminishwa upuuzi huo na wapuuziKamati ingekua na laana leo Tanzania ingefungwa. Sijui labda unaongelea LAANA ipi
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
nakubaliana na wewe kabisa mkuu..ilikuwa kama mechi ya bonanza tuHivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?
hawakusema vilevi,walisema vinywaji,acha ukhanithi weweMkuu hio kamati ni ya roho mbaya, isitoshe kila wakipata nafasi badala ya kueleza mikakati mizuri ya ushindi wao huanza kumsifia jiwe, hin kamati ina laana, ndio maana ina ahidi vilevi vitapungua bei!
Why not?Hivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?
Bado hujasema, kimbulu weweHuo ndio upumbavu unao endelezwa na watu wasiyo na vision za kimaendeleo unavyo zidi kulighalimu taifa yaani hapo Makonda kafanya nini cha zaidi hadi uanze kumsifia ujinga ujinga?kafunga magoli mangapi?
In God we trust
Unadhani wangeleta upinzani zaidi ya walioutoaHivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?
Pamoja sanaMkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?
Asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo
Asante kasi ya Rais Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
.Hivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?
Sahihi kabisaHivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?
Bia za nusu bei ziko wapi kwanza au ndo mlitujaza ujinga??
....Tff siku za nyuma walitangaza kamati wezeshi ya kuhakikisha tunashiriki michuano ya Afcon kule Misri mwaka huu,Kamati hii ya ushindi ilikuwa inaongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.Baada tu ya Makonda kutangazwa tu kuongoza kamati tumeshuhudia baadhi ya wadau humu kwenye mitandao ya kijamii wakibeza hili na kuingiza mada za kisiasa ilimradi tu kumkatisha tamaa Makonda.Wengine walienda mbali zaidi kwamba kwanini asitumie wachezaji wa zamani kama chachu ya ushindi na si kuwatumia wasanii kama alivyofanya?Leo wale wote mliokuwa mnambeza Makonda na kamati yake mmeumbuka na hatimaye Taifa stars imefuzu michuano ya AFCON.Mwisho Baniani mbaya kiatu chake dawa..Hongera sana RC Makonda na kamati yako kwa ushindi wa leo
Sent using Jamii Forums mobile app