Mnaacha kusifu wachezaji mnasifia mtu alikalisha pumbu zake jukwaani?Kazi waliyopewa ni kuhakikisha Taifa stars inashiriki AFCON.
Au hujasikia matokeo ? Kazi waliyopewa wameikamilisha vizuri sana na tunafuraha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?
I hate CCM g*ys....! Kwao kila kitu ni siasa ili wapate ujiko wakuonesha kuwa Wapinzani si chochote......huu kwa kweli ni WENDAZIMU.....!!Kwahiyo DAB ndio alikuwa anacheza uwanjani sio! Au mnataka kutuaminisha kuwa bila yeye Taifa Stars wasingefuzu! Kweli hilo genge lenu lina vilaza wengi sana.
Wangefungwa tu, kwani leo walikubali kufungwa? Wivu tu, dharau na chuki kwa makonda.Hivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?
Uonavyo wewe, Uganda wamekubali kufungwa?Hivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?
Duuh! Zimewabeba namna gani?Namkumbuka Shaffi Dauda na story zake za underdog..nafasi nane zilizoongezwa ndio zimetubeba otherwise "always next time"
We ni mpuuz kabisa. Kwa hiyo huyo makonda wako alicheza namba ngapi. Hebu tuondoleeni ujinga na bashite wako.Tff siku za nyuma walitangaza kamati wezeshi ya kuhakikisha tunashiriki michuano ya Afcon kule Misri mwaka huu,Kamati hii ya ushindi ilikuwa inaongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.Baada tu ya Makonda kutangazwa tu kuongoza kamati tumeshuhudia baadhi ya wadau humu kwenye mitandao ya kijamii wakibeza hili na kuingiza mada za kisiasa ilimradi tu kumkatisha tamaa Makonda.Wengine walienda mbali zaidi kwamba kwanini asitumie wachezaji wa zamani kama chachu ya ushindi na si kuwatumia wasanii kama alivyofanya?Leo wale wote mliokuwa mnambeza Makonda na kamati yake mmeumbuka na hatimaye Taifa stars imefuzu michuano ya AFCON.Mwisho Baniani mbaya kiatu chake dawa..Hongera sana RC Makonda na kamati yako kwa ushindi wa leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Penye ukweli utabaki kuwa ukweli. Lazima aambiwe. Kinachowaponza watanzania ni kutokusema ukweli. Ni ukweli usiokuwa na shaka walifanya makosa kuweka wabongo movie kuhamasisha mpira. Taifa stars hawajashinda kwasababu ya akina Wema.Tff siku za nyuma walitangaza kamati wezeshi ya kuhakikisha tunashiriki michuano ya Afcon kule Misri mwaka huu,Kamati hii ya ushindi ilikuwa inaongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.Baada tu ya Makonda kutangazwa tu kuongoza kamati tumeshuhudia baadhi ya wadau humu kwenye mitandao ya kijamii wakibeza hili na kuingiza mada za kisiasa ilimradi tu kumkatisha tamaa Makonda.Wengine walienda mbali zaidi kwamba kwanini asitumie wachezaji wa zamani kama chachu ya ushindi na si kuwatumia wasanii kama alivyofanya?Leo wale wote mliokuwa mnambeza Makonda na kamati yake mmeumbuka na hatimaye Taifa stars imefuzu michuano ya AFCON.Mwisho Baniani mbaya kiatu chake dawa..Hongera sana RC Makonda na kamati yako kwa ushindi wa leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kuna mmoja wao aliahidi atakunya toka ufipa hadi uwanja wa ndege Taifa Stars ikifungwa, sasa sijui kafika wapi na ukamanda wake uchwara.
Mabwege nyie mnafurahia pombe za Bure hii dalili ya umasikini, Uganda walisha qualify hawakuwa na cha kupotezaKazi waliyopewa ni kuhakikisha Taifa stars inashiriki AFCON.
Au hujasikia matokeo ? Kazi waliyopewa wameikamilisha vizuri sana na tunafuraha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Raisi mzuri kwenye michezo tu vipi kwenye uchumi?Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?
Asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo
Asante kasi ya Rais Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli aisee Uganda wametubeba, hongera sana the CranesUshindi wa Taifa kwa hisani ya watu wa Uganda.Hakuna cha kujivunia hapo.