Waliombeza RC Makonda leo mmeumbuka

Waliombeza RC Makonda leo mmeumbuka

Kufungwa sio kuwa mtu anakubali, ni kwamba anazidiwa. Analazimishwa kukubali. Kama kubakwa vile. Unajikuta tu imeingia hata kama hutaki. Kwa hiyo hata kama wangekuwa hawajafuzu kwa kikosi kile lazima tu wangejikuta wamekunywa tatu bila kupenda. Kama vita walivojikuta zimeingia mbili bila kupenda. Walikuja kupambana ili wafuzu lakin walijikuta mbili zimeingia
Hivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo DAB ndio alikuwa anacheza uwanjani sio! Au mnataka kutuaminisha kuwa bila yeye Taifa Stars wasingefuzu! Kweli hilo genge lenu lina vilaza wengi sana.
I hate CCM g*ys....! Kwao kila kitu ni siasa ili wapate ujiko wakuonesha kuwa Wapinzani si chochote......huu kwa kweli ni WENDAZIMU.....!!
 
Shida ya watu badala ya kupongeza timu ya Taifa watu wako busy na kupongeza RC na Magufuli Sasa walicheza au. Ni kama last week nimesikia msaada umetolewa na Magufuli kwa walipata mafuriko na sio serikali ya Tanzania jamani tuache ubinafsi sifa ni za wote akiwemo kocha
 
Get some sense into your empty head. Timu imeshinda kwa juhudi zake binafsi na za washangiliaji. Hata isingeundwa kamati bado tungeshinda kwa kuwa wachezaji hawakuwa na option nyingine zaidi ya kucheza kwa kujituma na kujiamini pamoja na hamasa ya Watanzania kwa ujumla wao.
Makonda anakuhusu wewe na wengine wenye mawazo ya kuazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tff siku za nyuma walitangaza kamati wezeshi ya kuhakikisha tunashiriki michuano ya Afcon kule Misri mwaka huu,Kamati hii ya ushindi ilikuwa inaongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.Baada tu ya Makonda kutangazwa tu kuongoza kamati tumeshuhudia baadhi ya wadau humu kwenye mitandao ya kijamii wakibeza hili na kuingiza mada za kisiasa ilimradi tu kumkatisha tamaa Makonda.Wengine walienda mbali zaidi kwamba kwanini asitumie wachezaji wa zamani kama chachu ya ushindi na si kuwatumia wasanii kama alivyofanya?Leo wale wote mliokuwa mnambeza Makonda na kamati yake mmeumbuka na hatimaye Taifa stars imefuzu michuano ya AFCON.Mwisho Baniani mbaya kiatu chake dawa..Hongera sana RC Makonda na kamati yako kwa ushindi wa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mpuuz kabisa. Kwa hiyo huyo makonda wako alicheza namba ngapi. Hebu tuondoleeni ujinga na bashite wako.
 
Tff siku za nyuma walitangaza kamati wezeshi ya kuhakikisha tunashiriki michuano ya Afcon kule Misri mwaka huu,Kamati hii ya ushindi ilikuwa inaongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.Baada tu ya Makonda kutangazwa tu kuongoza kamati tumeshuhudia baadhi ya wadau humu kwenye mitandao ya kijamii wakibeza hili na kuingiza mada za kisiasa ilimradi tu kumkatisha tamaa Makonda.Wengine walienda mbali zaidi kwamba kwanini asitumie wachezaji wa zamani kama chachu ya ushindi na si kuwatumia wasanii kama alivyofanya?Leo wale wote mliokuwa mnambeza Makonda na kamati yake mmeumbuka na hatimaye Taifa stars imefuzu michuano ya AFCON.Mwisho Baniani mbaya kiatu chake dawa..Hongera sana RC Makonda na kamati yako kwa ushindi wa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Penye ukweli utabaki kuwa ukweli. Lazima aambiwe. Kinachowaponza watanzania ni kutokusema ukweli. Ni ukweli usiokuwa na shaka walifanya makosa kuweka wabongo movie kuhamasisha mpira. Taifa stars hawajashinda kwasababu ya akina Wema.
 
mtoa post acha ushamba,kawadanganye wakwenu, hiyo kamati imeundwa lini naimefanya kazi gani? baada yakuona timu inanafasi yakufuzu dokamati zakutafutia kiki naumaarufu zinaibuka.Mechi ya mwanzo kabisa na Lesotho mbona hiyo kamati haikuwepo.msilazimishe kupata sifa,sifa hailazimiswi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?

Asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo

Asante kasi ya Rais Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Raisi mzuri kwenye michezo tu vipi kwenye uchumi?
 
Back
Top Bottom