Waliombeza RC Makonda leo mmeumbuka

Huo ndio upumbavu unao endelezwa na watu wasiyo na vision za kimaendeleo unavyo zidi kulighalimu taifa yaani hapo Makonda kafanya nini cha zaidi hadi uanze kumsifia ujinga ujinga?kafunga magoli mangapi?

In God we trust
Acha hasira bi kiroboto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Kamati ya ushindi ilikuwa wapi siku zote na sisi tukachukua kombe la dunia?
 
Kafunga goli ngapi vile?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwache ujinga sisi Watanzania! Uhamasishaji wa wiki 1 ndio usababishe timu kushinda? Basi akihamasisha miezi 2 tutachukuwa World Cup! Kumpongeza Makonda ni kuwadharau walimu na timu yake ya ufundi pamoja na wachezaji!
 
Huo ndio upumbavu unao endelezwa na watu wasiyo na vision za kimaendeleo unavyo zidi kulighalimu taifa yaani hapo Makonda kafanya nini cha zaidi hadi uanze kumsifia ujinga ujinga?kafunga magoli mangapi?

In God we trust
Acha umama wewe,inamaana hujui kuwa makonda alikuwa mstari wa mbele kuhamasisha!! Chuki zimekujaa mpaka zinamwagika ipo siku utachukia hadi kimvuli chako.
 
Hivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?
Watu wengine ni vichwa vya mbuzi kabisa. Uganda wangehitaji ushindi, tusingetoka. Kujisifu sana kwetu itakuwa kero kubwa kwao. In reality, wametuachia ili tupenye.
 
Watu wengine ni vichwa vya mbuzi kabisa. Uganda wangehitaji ushindi, tusingetoka. Kujisifu sana kwetu itakuwa kero kubwa kwao. In reality, wametuachia ili tupenye.
Kama walikuwa wa kutuachia, basi wangetuachia siku tuliocheza kwao kabla ya mzunguko huu! Hivi walitufunga mangapi kwao, vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…