Waliomchukulia fomu ya kugombea urais wa TFF Wallace Karia wamelipwa nini?

Waliomchukulia fomu ya kugombea urais wa TFF Wallace Karia wamelipwa nini?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuna Taarifa kwamba Mwenyekiti wa zamani wa Simba Swedi Nkwabi aliyemkimbia MO pamoja na Mamluki Ntahilaja anayetajwa kutoka Yanga leo wameonekana kwenye ofisi za TFF kwa kile kinachodaiwa eti kumchukulia fomu "bilionea" Karia ili aendelee kutafuna hela za TFF.

Swali ni hili: Wamelipwa nini? Kwanini Karia asichukue fomu mwenyewe, wamelenga kumdanganya nani?

2802362_22_.jpg
 
Wamejitetea kuwa jamaa yupo nje ya nchi kikazi.

Ila TFF ni uozo sana sijui lini itakuja kupata watu wenye weledi wasio na hulka na timu hizi mbili ya Young Africans & Simba Sc.
Tatizo sio uyanga na usimba, tatizo ni uccm kuingizwa kwenye mpira, ndio maana kila sehemu kumeoza hata huko yanga nako kumeoza, simba nako hivyo hivyo kote ni uozo mtupu.

Siku kirusi ccm kikitoka katika mpira lazima utaona tofauti, maana watu wa mpira watabakia kuwa wa mpira, sasa hivi mpira ni kama vile inatumika kama platform kuingilia kwenye siasa na kinyume chake.
 
Hakujua kama fomu zatolewa leo ? halafu mbona hakuleta ndugu zake wamchukulie , au ni kweli kwamba hana ndugu nchi hii kama wazalendo wanavyosema?
Ni janja janja tu maana hata tar ya mwisho kurudisha ni tar 12 kwahiyo angerudi tu akachukua mwenyewe, hao wanaomchukulia ni kuonyeshwa anapendwa hata baadaye akishinda utaona atawachomeka kwenye Safu yake ya TFF
 
Ni janja janja tu maana hata tar ya mwisho kurudisha ni tar 12 kwahiyo angerudi tu akachukua mwenyewe ,hao wanaomchukulia ni kuonyeshwa anapendwa ,..hata baadaye akishinda utaona atawachomeka kwenye Safi yake ya TFF
aiseeee !!!
 
Fanyeni kampeni meza ipinduke
Kwa mfumo ambao karia na wenzake wameuweka, ni ngumu mtu mwingine kupita!!kuna kanda sita kila mgombea lazima apate wadhamini watano, mmoja kutoka kila kanda, na endapo mwenzako atapata mdhamini kutoka kanda fulani , hiyo kanda haiwezi tena kumdhamini mwingine!!ina maana karia kutokana na mfumo aliouweka wa watu wake, huko atapata wadhamini nyie wengine, ni vigumu kudhaminiwa tena!!wapiga kura kupunguzwa kutoka karibu 300, hadi 80!!ili iwe rahisi kuwadhibiti.Uhuni uliofanyika kwenye chaguzi za huko mikoani ni aibu!!
 
Kwa mfumo ambao karia na wenzake wameuweka, ni ngumu mtu mwingine kupita!!kuna kanda sita kila mgombea lazima apate wadhamini watano, mmoja kutoka kila kanda, na endapo mwenzako atapata mdhamini kutoka kanda fulani , hiyo kanda haiwezi tena kumdhamini mwingine!!ina maana karia kutokana na mfumo aliouweka wa watu wake, huko atapata wadhamini nyie wengine, ni vigumu kudhaminiwa tena!!wapiga kura kupunguzwa kutoka karibu 300, hadi 80!!ili iwe rahisi kuwadhibiti.Uhuni uliofanyika kwenye chaguzi za huko mikoani ni aibu!!
Kama aling'oka Ndolanga huyu hatushindi
 
aiseeee !!!
Yaani kwenye soka la bongo ni kama wana nchi yao(N.korea) leo wagombea urais wanazunguka mikoani kuomba udhamini wa wajumbe wanakataliwa na wajumbe hao kuwa wao tayari wanamuunga mkono karia!!kanuni haziwaruhusu kuunga mkono wagombea 2!!ndio maana kuna baadhi ya nchi zinaona huu uendeshwaji wa soka ni kama kikundi cha watu ambao hawataki walioko nje kuingia ndani, wanaamua kuingilia kati, bora FIFA, iwapige ban kwani ni uhuni!!yaani kanuni za TFF, zinakuwa juu ya katiba ya nchi?!!
 
Huu uchaguzi inabidi uchunguzwe na takukuru naona unafigisu nyingi sana, na kama kweli ukichunguzwa kwa makini kuna watu kisutu itawahusu tu.
 
Back
Top Bottom