Waliomchukulia fomu ya kugombea urais wa TFF Wallace Karia wamelipwa nini?

Waliomchukulia fomu ya kugombea urais wa TFF Wallace Karia wamelipwa nini?

Huu uchaguzi inabidi uchunguzwe na takukuru naona unafigisu nyingi sana, na kama kweli ukichunguzwa kwa makini kuna watu kisutu itawahusu tu.
Unaambiwa akishadhaminiwa Karia basi nyie wengine hamtapata wadhamini ! sijawahi kuona
 
Kuna Taarifa kwamba Mwenyekiti wa zamani wa Simba Swedi Nkwabi aliyemkimbia MO pamoja na Mamluki Ntahilaja anayetajwa kutoka Yanga leo wameonekana kwenye ofisi za TFF kwa kile kinachodaiwa eti kumchukulia fomu "bilionea" Karia ili aendelee kutafuna hela za TFF.

Swali ni hili: Wamelipwa nini? Kwanini Karia asichukue fomu mwenyewe, wamelenga kumdanganya nani?

kwani kuna Tatizo ?
 
Huu mchakato uchaguzi haustahili uendelee, inabidi upingwe kisheria ili marekebisho ya baadhi ya vifungu vinanavyo ashiria ubinywaji wa democrasia virekebishwe, kisha mchakato uendelee.
 
Back
Top Bottom