Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Unaambiwa akishadhaminiwa Karia basi nyie wengine hamtapata wadhamini ! sijawahi kuonaHuu uchaguzi inabidi uchunguzwe na takukuru naona unafigisu nyingi sana, na kama kweli ukichunguzwa kwa makini kuna watu kisutu itawahusu tu.
kwani kuna Tatizo ?Kuna Taarifa kwamba Mwenyekiti wa zamani wa Simba Swedi Nkwabi aliyemkimbia MO pamoja na Mamluki Ntahilaja anayetajwa kutoka Yanga leo wameonekana kwenye ofisi za TFF kwa kile kinachodaiwa eti kumchukulia fomu "bilionea" Karia ili aendelee kutafuna hela za TFF.
Swali ni hili: Wamelipwa nini? Kwanini Karia asichukue fomu mwenyewe, wamelenga kumdanganya nani?
Huyu jamaa kuna kamfumo amekatengeneza cha kumfanya yeye apite kiurahisi kwenye huu uchaguzi, lakini inaonekana atakuwa na mwisho mbayaUnaambiwa akishadhaminiwa Karia basi nyie wengine hamtapata wadhamini ! sijawahi kuona
wamelipwa kama wanavyolipwa kina HalimaHapana , tunataka kujua walicholipwa
πππKaria ana nafuu mala dufu ya wagombea wenzake,
Twende na Karia.
Twende nae wapi? Ebu tuwe serious kidogo bhana...Twende na Oscar Oscar.