Hali ya mvua sasa hivi ni mbaya?Umeme ni tatizo la kitaalamu, na linatatuliwa kitaalamu, sio kwamba huyo muuza furu, nchima na maziwa meno yake yaliongeza umeme katika gridi ya taifa.
Wakati wake hali ya mvua ilikuwa nzuri, mabwawa yakawa na umeme, kwa hiyo unataka kuniambia yeye aliamuru mvua zinyeshe
Kwahiyo sasahivi mvua hazinyeshi?Umeme ni tatizo la kitaalamu, na linatatuliwa kitaalamu, sio kwamba huyo muuza furu, nchima na maziwa meno yake yaliongeza umeme katika gridi ya taifa.
Wakati wake hali ya mvua ilikuwa nzuri, mabwawa yakawa na umeme, kwa hiyo unataka kuniambia yeye aliamuru mvua zinyeshe
Saizi mvua haipo? Ukitanguliza hisia kwenye kila jambo huwezi kuuona ukweli. Grid ya Taifa ni ileile mbona saizi unakatika. Binadamu tumejaa chuki, ubinafisi na roho mbaya tu.Umeme ni tatizo la kitaalamu, na linatatuliwa kitaalamu, sio kwamba huyo muuza furu, nchima na maziwa meno yake yaliongeza umeme katika gridi ya taifa.
Wakati wake hali ya mvua ilikuwa nzuri, mabwawa yakawa na umeme, kwa hiyo unataka kuniambia yeye aliamuru mvua zinyeshe
Inanyesha huko kwenye mabwawa au huko kwenu Malampaka na Nyampulukano?Saizi mvua haipo? Ukitanguliza hisia kwenye kila jambo huwezi kuuona ukweli. Grid ya Taifa ni ileile mbona saizi unakatika. Binadamu tumejaa chuki, ubinafisi na roho mbaya tu.
Kweli lakini aliwaua kina Ben sanane, Anzori gwanda na wengine weeeeeengiNi wapumbavu mno
Huu uzi ufungwe tu.Kwahiyo sasahivi mvua hazinyeshi?
Enhe, chanzo cha upungufu wa sukari kulingana na Msomali wa BBT ni nini kama si mvua.
Kwahiyo mvua ya Tanzania inanyesha kwenye mashamba ya miwa huku kwenye vyanzo vya uzalishaji wa umeme kuna ukame?
We ni mfu km Magu, msalimie huko mlipo, mwambie mama anaponya nchi aliyoiharibu.Sisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.
Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.
Suluhisho ni kutubu.
Aaah!Kwanini ufungwe.
Kwani mimi ndiye nilimuua? Au mimi ndiye nilimtuma awe muuaji? Wacha avune alichopanda mwenyeweRoho mbaya na chuki haitakufukisha sehemu.