Afadhali tukae kwenye giza rather than living with a KILLERSisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.
Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.
Suluhisho ni kutubu.
Shida ya umeme ilianza 1991,na haijawahi tatuliwa ikaisha kabisa,wakati wa magu umeme ulikua ukikatika pia,shida ya umeme tz hapa kati haikutokana na kiwango Cha umeme unaozalishwa Bali miundombinu kumpelekea mlaji,labda jnhp likikamilika shida itapunguaSisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.
Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.
Suluhisho ni kutubu.
Jinga kabisa!!!! Kwa hiyo hatuna mvua za kutosha sasa!!!??Umeme ni tatizo la kitaalamu, na linatatuliwa kitaalamu, sio kwamba huyo muuza furu, nchima na maziwa meno yake yaliongeza umeme katika gridi ya taifa.
Wakati wake hali ya mvua ilikuwa nzuri, mabwawa yakawa na umeme, kwa hiyo unataka kuniambia yeye aliamuru mvua zinyeshe
Teseka kivyako, stress zako hazituhusu.
SureJPM akiwa kama rais wa nchi yetu alilalamikiwa kwa mabaya aliyoyafanya, lakini hakusifiwa kwa mazuri yake kwa kuwa huo ulikuwa ni wajibu wake wa kikatiba.
Kuna kitu kimekupiga chenga ya mwili. Kipindi cha Adolf Hitler, Ujerumani ilifikia kiwango cha juu sana cha maendeleo. Treni zilikuwa zikizingatia muda wa safari hadi kwa nukta zilizopangwa. Bidhaa na huduma zote zilikuwa zikipatikana kwa viwango na ufanisi wa hali ya juu sana. Ujerumani iliongoza kwa teknolojia na uchumi wa viwanda Ulaya nzima. “Made in Germany” haikuwa na mpinzani.Sisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.
Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.
Suluhisho ni kutubu.
Kipindi hiki mvua hakuna?Umeme ni tatizo la kitaalamu, na linatatuliwa kitaalamu, sio kwamba huyo muuza furu, nchima na maziwa meno yake yaliongeza umeme katika gridi ya taifa.
Wakati wake hali ya mvua ilikuwa nzuri, mabwawa yakawa na umeme, kwa hiyo unataka kuniambia yeye aliamuru mvua zinyeshe
Hakuna awamu ya URais hapa Tanzania ambapo ufisadi na mafisadi hawakuwepo.Watakuambia uongozi wa saa100 ni mzuri zaid kuliko jpm kwa kuwa tu wameruhusiwa kuiba bila ya kuulizwa na kutunisha matumbo yao ..hawanaga hoja ya maana