Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kama mnavyojua watuhumiwa wa tukio la utekaji wa Talimo kule Kilivya, Benki na wenzake 5 walikamatwa Disemba 4 na kufikishwa mahakamani Disemba 6.
Ikumbukwe kuwa dhamana yao ilikuwa wazi kwa masharati ya kulipa Bondi ya Shilingi Milioni 10 na wadhamini wawili kwa Kila mmoja, pamoja na kutosafiri nje ya Dar es Salaam bila kibali cha mahakama.
Sasa bwana jamaa wamepata dhamana kimyakimya na sasa wapo uraiani wakifuatilia mwenendo wa kesi, Benki alionekana sehemu yake ya kazi jana na leo kwenye kituo cha Magufuli alipokuwa kama mlinzi shirikishi.
Pia soma: Watuhumiwa waliotaka kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) wafikishwa Mahakamani
Hivi kwa kesi kama ya akina Benki mtu anaruhusiwa kurudi kazini kuendelea na majukumu yake kama kawaida au anasimamishwa hadi atakapokuwa cleared na charges? Wanasheria Pascal Mayalla tunaomba ufafanuzi hapa.
Kwanini dhamana hii imepita kimyakimya though na vile wanancgi tulivyokuwa invested kufatilia mwenendo wa kesi hii?
Wanataka tusahau waachiliwe warudi uraiani kuteka watu wengine kwenye list?
=====
Muhtasari wa kilichokea Dec 19, 2024 Makamani
Mahakama ya Hakimu Mkazi ilishindwa kusikiliza kesi ya Jaribio la Utekaji inayowakabili Watu Sita dhidi ya Mfanyabiashara Deogratius Tarimo baada ya upande wa Mashtaka kusema hoja za awali bado hazijawa tayari.
Watuhumiwa walitakiwa kusomewa maelezo ya awali mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Ramadhani Rugemalila, Wakili wa Jamhuri, Makalala akaiambia Mahakama kuwa shauri hilo liahirishwe kwa kuwa hoja hazijawa tayari.
Mahakama iliahirisha shauri hilo hadi Januari 9, 2025 itakapotajwa tena huku watuhumiwa wakipewa fursa ya dhamana endapo watatimiza masharti.
Kama mnavyojua watuhumiwa wa tukio la utekaji wa Talimo kule Kilivya, Benki na wenzake 5 walikamatwa Disemba 4 na kufikishwa mahakamani Disemba 6.
Ikumbukwe kuwa dhamana yao ilikuwa wazi kwa masharati ya kulipa Bondi ya Shilingi Milioni 10 na wadhamini wawili kwa Kila mmoja, pamoja na kutosafiri nje ya Dar es Salaam bila kibali cha mahakama.
Sasa bwana jamaa wamepata dhamana kimyakimya na sasa wapo uraiani wakifuatilia mwenendo wa kesi, Benki alionekana sehemu yake ya kazi jana na leo kwenye kituo cha Magufuli alipokuwa kama mlinzi shirikishi.
Pia soma: Watuhumiwa waliotaka kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) wafikishwa Mahakamani
Hivi kwa kesi kama ya akina Benki mtu anaruhusiwa kurudi kazini kuendelea na majukumu yake kama kawaida au anasimamishwa hadi atakapokuwa cleared na charges? Wanasheria Pascal Mayalla tunaomba ufafanuzi hapa.
Kwanini dhamana hii imepita kimyakimya though na vile wanancgi tulivyokuwa invested kufatilia mwenendo wa kesi hii?
Wanataka tusahau waachiliwe warudi uraiani kuteka watu wengine kwenye list?
=====
Muhtasari wa kilichokea Dec 19, 2024 Makamani
Mahakama ya Hakimu Mkazi ilishindwa kusikiliza kesi ya Jaribio la Utekaji inayowakabili Watu Sita dhidi ya Mfanyabiashara Deogratius Tarimo baada ya upande wa Mashtaka kusema hoja za awali bado hazijawa tayari.
Watuhumiwa walitakiwa kusomewa maelezo ya awali mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Ramadhani Rugemalila, Wakili wa Jamhuri, Makalala akaiambia Mahakama kuwa shauri hilo liahirishwe kwa kuwa hoja hazijawa tayari.
Mahakama iliahirisha shauri hilo hadi Januari 9, 2025 itakapotajwa tena huku watuhumiwa wakipewa fursa ya dhamana endapo watatimiza masharti.