Waliomteka Tarimo (akina Benki) wamerudi uraiani dhamana yao imepita kimyakimya, kesi kuendelea Januari 9, 2025

Waliomteka Tarimo (akina Benki) wamerudi uraiani dhamana yao imepita kimyakimya, kesi kuendelea Januari 9, 2025

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kama mnavyojua watuhumiwa wa tukio la utekaji wa Talimo kule Kilivya, Benki na wenzake 5 walikamatwa Disemba 4 na kufikishwa mahakamani Disemba 6.

Ikumbukwe kuwa dhamana yao ilikuwa wazi kwa masharati ya kulipa Bondi ya Shilingi Milioni 10 na wadhamini wawili kwa Kila mmoja, pamoja na kutosafiri nje ya Dar es Salaam bila kibali cha mahakama.

Sasa bwana jamaa wamepata dhamana kimyakimya na sasa wapo uraiani wakifuatilia mwenendo wa kesi, Benki alionekana sehemu yake ya kazi jana na leo kwenye kituo cha Magufuli alipokuwa kama mlinzi shirikishi.

Pia soma: Watuhumiwa waliotaka kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) wafikishwa Mahakamani

Hivi kwa kesi kama ya akina Benki mtu anaruhusiwa kurudi kazini kuendelea na majukumu yake kama kawaida au anasimamishwa hadi atakapokuwa cleared na charges? Wanasheria Pascal Mayalla tunaomba ufafanuzi hapa.

Kwanini dhamana hii imepita kimyakimya though na vile wanancgi tulivyokuwa invested kufatilia mwenendo wa kesi hii?

Wanataka tusahau waachiliwe warudi uraiani kuteka watu wengine kwenye list?

=====

Muhtasari wa kilichokea Dec 19, 2024 Makamani

Mahakama ya Hakimu Mkazi ilishindwa kusikiliza kesi ya Jaribio la Utekaji inayowakabili Watu Sita dhidi ya Mfanyabiashara Deogratius Tarimo baada ya upande wa Mashtaka kusema hoja za awali bado hazijawa tayari.

Watuhumiwa walitakiwa kusomewa maelezo ya awali mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Ramadhani Rugemalila, Wakili wa Jamhuri, Makalala akaiambia Mahakama kuwa shauri hilo liahirishwe kwa kuwa hoja hazijawa tayari.

Mahakama iliahirisha shauri hilo hadi Januari 9, 2025 itakapotajwa tena huku watuhumiwa wakipewa fursa ya dhamana endapo watatimiza masharti.
 
Wakuu,

Kama mnavyojua watuhumiwa wa tukio la utekaji wa Talimo kule Kilivya, Benki na wenzake 5 walikamatwa Disemba 4 na kufikishwa mahakamani Disemba 6.

Ikumbukwe kuwa dhamana yao ilikuwa wazi kwa masharati ya kulipa Bondi ya Shilingi Milioni 10 na wadhamini wawili kwa Kila mmoja, pamoja na kutosafiri nje ya Dar es Salaam bila kibali cha mahakama.

Sasa bwana jamaa wamepata dhamana kimyakimya na sasa wapo uraiani wakifuatilia mwenendo wa kesi, Benki alionekana sehemu yake ya kazi jana na leo kwenye kituo cha Magufuli alipokuwa kama mlinzi shirikishi.

Pia soma: Watuhumiwa waliotaka kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) wafikishwa Mahakamani

Hivi kwa kesi kama ya akina Benki mtu anaruhusiwa kurudi kazini kuendelea na majukumu yake kama kawaida au anasimamishwa hadi atakapokuwa cleared na charges? Wanasheria Pascal Mayalla tunaomba ufafanuzi hapa.

Kwanini dhamana hii imepita kimyakimya though na vile wanancgi tulivyokuwa invested kufatilia mwenendo wa kesi hii?

Wanataka tusahau waachiliwe warudi uraiani kuteka watu wengine kwenye list?
Umesema dhamana yao ilikuwa wazi halafu unasema wamepewa dhamana kimyakimya! Mbona mnataka kumchosha tu Kaka Mkubwa Pascal Mayalla na sikukuu hii?
 
Umesema dhamana yao ilikuwa wazi halafu unasema wamepewa dhamana kimyakimya! Mbona mnataka kumchosha tu Kaka Mkubwa Pascal Mayalla na sikukuu hii?
Hiko ndicho nimeomba ufafanuzi kwa Pascal Mayalla? Acha kukurupuka

Dhamana imekuwa kimya kwa kesi yenye public interest, hata session ya kwanza mahakamani imepita kimya, its strange
 
Wakuu,

Kama mnavyojua watuhumiwa wa tukio la utekaji wa Talimo kule Kilivya, Benki na wenzake 5 walikamatwa Disemba 4 na kufikishwa mahakamani Disemba 6.

Ikumbukwe kuwa dhamana yao ilikuwa wazi kwa masharati ya kulipa Bondi ya Shilingi Milioni 10 na wadhamini wawili kwa Kila mmoja, pamoja na kutosafiri nje ya Dar es Salaam bila kibali cha mahakama.

Sasa bwana jamaa wamepata dhamana kimyakimya na sasa wapo uraiani wakifuatilia mwenendo wa kesi, Benki alionekana sehemu yake ya kazi jana na leo kwenye kituo cha Magufuli alipokuwa kama mlinzi shirikishi.

Pia soma: Watuhumiwa waliotaka kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) wafikishwa Mahakamani

Hivi kwa kesi kama ya akina Benki mtu anaruhusiwa kurudi kazini kuendelea na majukumu yake kama kawaida au anasimamishwa hadi atakapokuwa cleared na charges? Wanasheria Pascal Mayalla tunaomba ufafanuzi hapa.

Kwanini dhamana hii imepita kimyakimya though na vile wanancgi tulivyokuwa invested kufatilia mwenendo wa kesi hii?

Wanataka tusahau waachiliwe warudi uraiani kuteka watu wengine kwenye list?
Kurudishwa uraiani maana yake.........
 
Wakuu,

Kama mnavyojua watuhumiwa wa tukio la utekaji wa Talimo kule Kilivya, Benki na wenzake 5 walikamatwa Disemba 4 na kufikishwa mahakamani Disemba 6.

Ikumbukwe kuwa dhamana yao ilikuwa wazi kwa masharati ya kulipa Bondi ya Shilingi Milioni 10 na wadhamini wawili kwa Kila mmoja, pamoja na kutosafiri nje ya Dar es Salaam bila kibali cha mahakama.
Mkuu Kyuti Waifu, Cute Wife , dhamana ikiwa wazi, maana yake wakikamilisha masharti, wanaachiwa wakati wowote bila kutangazwa tena. Dhamana ikifungwa, ni mpaka siku ya kusikilizwa ndio wanasikilizwa tena.
Sasa bwana jamaa wamepata dhamana kimyakimya na sasa wapo uraiani wakifuatilia mwenendo wa kesi, Benki alionekana sehemu yake ya kazi jana na leo kwenye kituo cha Magufuli alipokuwa kama mlinzi shirikishi.
Dhamana ikiishakuwa wazi mambo ni kimya kimya kama kupita mlango wazi, mtu huhitaji kubisha hodi, ni unazama tuu ndani!.
Hivi kwa kesi kama ya akina Benki mtu anaruhusiwa kurudi kazini kuendelea na majukumu yake kama kawaida au anasimamishwa hadi atakapokuwa cleared na charges? Wanasheria Pascal Mayalla tunaomba ufafanuzi hapa.
Hajarudi kazini kuendelea na kazi, ameenda kwa mambo mengine ya kiofisi na kupokea nusu mshahara.
Kwanini dhamana hii imepita kimyakimya though na vile wanancgi tulivyokuwa interested kufatilia mwenendo wa kesi hii?
Ikiishakuwa wazi, ni wazi, kimya kimya.
Wanataka tusahau waachiliwe warudi uraiani kuteka watu wengine kwenye list?
Kwa sasa kwa vile wameshtukiwa, hawatarudia, wanasubia upite muda, watu wasahau ndipo kisha kazi iendelee.
P
 
Mkuu Kyuti Waifu, Cute Wife , dhamana ikiwa wazi, maana yake wakikamilisha masharti, wanaachiwa wakati wowote bila kutangazwa tena. Dhamana ikifungwa, ni mpaka siku ya kusikilizwa ndio wanasikilizwa tena.

Dhamana ikiishakuwa wazi mambo ni kimya kimya kama kupita mlango wazi, mtu huhitaji kubisha hodi, ni unazama tuu ndani!.

Hajarudi kazini kuendelea na kazi, ameenda kwa mambo mengine ya kiofisi na kupokea nusu mshahara.

Ikiishakuwa wazi, ni wazi, kimya kimya.

Kwa sasa kwa vile wameshtukiwa, hawatarudia, wanasubia upite muda, watu wasahau ndipo kisha kazi iendelee.
P
yaani wote walikamatwa wakiwa na nguo zilezile walizoonekana nazo?
 
Mkuu Kyuti Waifu, Cute Wife , dhamana ikiwa wazi, maana yake wakikamilisha masharti, wanaachiwa wakati wowote bila kutangazwa tena. Dhamana ikifungwa, ni mpaka siku ya kusikilizwa ndio wanasikilizwa tena.

Dhamana ikiishakuwa wazi mambo ni kimya kimya kama kupita mlango wazi, mtu huhitaji kubisha hodi, ni unazama tuu ndani!.

Hajarudi kazini kuendelea na kazi, ameenda kwa mambo mengine ya kiofisi na kupokea nusu mshahara.

Ikiishakuwa wazi, ni wazi, kimya kimya.

Kwa sasa kwa vile wameshtukiwa, hawatarudia, wanasubia upite muda, watu wasahau ndipo kisha kazi iendelee.
P
Wanapata nusu ya mshahara huku wakiwa wamesimamishwa?
 
Mkuu Kyuti Waifu, Cute Wife , dhamana ikiwa wazi, maana yake wakikamilisha masharti, wanaachiwa wakati wowote bila kutangazwa tena. Dhamana ikifungwa, ni mpaka siku ya kusikilizwa ndio wanasikilizwa tena.

Dhamana ikiishakuwa wazi mambo ni kimya kimya kama kupita mlango wazi, mtu huhitaji kubisha hodi, ni unazama tuu ndani!.

Hajarudi kazini kuendelea na kazi, ameenda kwa mambo mengine ya kiofisi na kupokea nusu mshahara.

Ikiishakuwa wazi, ni wazi, kimya kimya.

Kwa sasa kwa vile wameshtukiwa, hawatarudia, wanasubia upite muda, watu wasahau ndipo kisha kazi iendelee.
P
Kilichonishangaza ni sababu kesi hii ina public interest, nilitegemea waandishi wangekuwa mstari wa mbele kuripoti kila hatua kuhusu kesi hii
 
Kilichonishangaza ni sababu kesi hii ina public interest, nilitegemea waandishi wangekuwa mstari wa mbele kuripoti kila hatua kuhusu kesi hii
Tuna tatizo kubwa la continuty na followup stories kwenye media zetu, kesi ikiisha ahirishwa, no more followup mpaka itakapotajwa tena.
P
 
Back
Top Bottom