Waliomteka Tarimo (akina Benki) wamerudi uraiani dhamana yao imepita kimyakimya, kesi kuendelea Januari 9, 2025

Kitendo walichotaka kutekeleza ni kitendo cha kigaidi hivyo hawakustahili kabisa kupata dhamana. Hii kesi ni geresha tu hawa ni timu Mafwele
 
Chagua Moja: Fanya kazi na wasiojulikana, gharama kubwa ila hakuta kuwa na kesi; Fanya kazi na majambazi ya mtaa, gharama ndogo, ila kuna chance kubwa ya kudakwa.
 
Dawa ni kwamba wakisharejea mtaani wanapaswa kushughulikiwa na raia kisawa sawa huko kwenye sheria ni uozo mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…