Hata mkiweka sababu za hicho kifo ndio tutazidi kufurahi, na tutawapongeza sana hao watu kwa kuliponya taifa na yule muovu. Yaani wekeni kila kitu mtakavyo ili wananchi wajue uchafu wa CCM, lakini hadi sasa tuna furaha ya ajabu kwa hawa viongozi wakatili kufariki, na huyu aliyejiuzulu sasa.