Waliomwagiwa ugali nao kumwaga Mboga, mambo mengi yatawekwa hadharani, wanaCcm kuumbuana

Zipo tetesi kuwa hata yaliyosababisha taifa likapata msiba mkubwa yatawekwa hadharani na ukweli utajulikana.
Mleta mada kwa aya hii nimegundua kuwa unaumwa Sukuma gang disorder.

Jiwe amekufa kwa korona kwasabb ya ushamba na ushirikina wake.
 
, lakini hadi sasa tuna furaha ya ajabu kwa hawa viongozi wakatili kufariki, na huyu aliyejiuzulu sasa.
Tena jiwe kafariki kwa korona kizembe Sana, kwasabb aliendekeza ushirikina kwenye suala la korona.
 
Mie nasubiri mtu atupe ukweli juu ya kifo Cha kipenzi chetu Magufuli
 
Jizi ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…