nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
- Thread starter
-
- #21
Unaonaje kama angetulia baada ya mchezo angewauliza kulikoni na kuwaonya?Vipi kuhusu Manara wakati anasajiliwa kama mchezaji namba Moja huko utopoloni , alifanyiwa scourtingi? Tuanzie hapo kwanza.
Namkumbuka EmayelKocha matendo yake yanaonyesha ameokotwa jalalani.
'scourging' ni kitu gani kwanza? Inabidi tuanze na lugha maana wajuaji mmekuwa wengi sana siku hizi kwenye mchezo wa sokaMoja muhimu,je walimfanyia scourging ili kujua uwezo wake na nidhamu yake?
Huyu jamaa atakuwa mganga huyu akili za kushikiwa na mizimu.'scourging' ni kitu gani kwanza? Inabidi tuanze na lugha maana wajuaji mmekuwa wengi sana siku hizi kwenye mchezo wa soka
Hahahahahaha akikujibu,nitagVipi kuhusu Manara wakati anasajiliwa kama mchezaji namba Moja huko utopoloni , alifanyiwa scourtingi? Tuanzie hapo kwanza.
Hiyo inaitwa body language. Ukiona jambo baya 1. Kataza 2. Lizuie ukishindwa 1&2 basi 3. Onesha kukasirikaKwahiyo kulala uwanjani, kupiga kiti teke na kurusha chupa ya maji ndio nini?
Kitendo alichofanya kocha huyu inaonesha hana nidhamu hata chembe
Muda utafika mtu atapigwa goli kumi we wamchezee pabloMtafute umpige makonde mkuu . Maana kakuchukiza kuona hajapoteza mechi hata Moja tangu atue msimbazi
Iliyostaarabika ila haina maendeleo ya soka.Kitendo alichofanya Kocha wa Simba hakikubaliki katika jamii iliyostarabika.
Ajirekebishe.
Scourting ndio nini?Kitendo alichofanya Jana kocha wa simba kinatengeneza maswali mengi.
Moja muhimu,je walimfanyia scourging ili kujua uwezo wake na nidhamu yake?
Kitendo alichofanya kocha huyu inaonesha hana nidhamu hata chembe
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Binadamu wengine bana, yanaishi kwa matumaini!Muda utafika mtu atapigwa goli kumi we wamchezee pablo
Unakoseaje kuandika ngeli za kiswahili kiasi hikoBinadamu wengine bana, yanaishi kwa matumaini!
[emoji3]Vipi kuhusu Manara wakati anasajiliwa kama mchezaji namba Moja huko utopoloni , alifanyiwa scourtingi? Tuanzie hapo kwanza.
Kumshauri refa akiw uwanjani ni kadi nyekundu , wanaamin refa hakosei usisahau , solution ni kuonesha jinsi tikio lilivyokukera ili siku nyingine ajue vitasa vitamuhusu refa [emoji3]Kupiga makonde sio suluhisho la kurekebisha tabia ya mtu.
Ni vizuri kutumia maneno ya busara kumwonya mtu anapokosea.
Kupiga mateke chupa za maji na viti sio suluhisho sahihi la kuelekeza makosa ya mtu.
Akiwauliza anapata nini ? mpira wa miguu huisha baada ya dk 90 so ni vizur uoneshe hadharani ili usije lalamika muda umekwenda watu wakakuona unataka kikiUnaonaje kama angetulia baada ya mchezo angewauliza kulikoni na kuwaonya?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Unataka Ujue peke yako?'scourging' ni kitu gani kwanza? Inabidi tuanze na lugha maana wajuaji mmekuwa wengi sana siku hizi kwenye mchezo wa soka
Kwenu pia IPO ndy maana unaijuaHuyu jamaa atakuwa mganga huyu akili za kushikiwa na mizimu.
Wewe kweli mbochocho kweli!