nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
- Thread starter
- #21
Unaonaje kama angetulia baada ya mchezo angewauliza kulikoni na kuwaonya?Vipi kuhusu Manara wakati anasajiliwa kama mchezaji namba Moja huko utopoloni , alifanyiwa scourtingi? Tuanzie hapo kwanza.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app