Waliomwambia Rais "Hatuchangiii" wagoma kuondoka Tegeta kwa Ndevu

Waliomwambia Rais "Hatuchangiii" wagoma kuondoka Tegeta kwa Ndevu

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana Jf

Ukisikia watu jeuri ni hawa vijana wajasiliamali Aka Machinga tegeta, ambao rahis wa awamu ya tano aliwahi kusimama dakika kumi na tano kuomba kura kwa kurudia Rudia akimwombea Gwajiboy jimbo la kinondoni. Wakiwa na huruka ule ule, Mama akiwa njiani kwenda kunadi sera ya utalii nchini, alipita tegeta kuwasalimia pia na kuwasii wapokee chanjo akiwa ameongozana na Gwaji boy kama kwamba vijana hawa walipeana taarifa, aliwanbia "Mtachanja" wao hatuchangii, akarudia tena wakajibu "hatuchangii" jambo lililomshutua, na kubaki akitabasamu baadae akaondoka.

Vijana hawa waliambiwa na serikali kuondoka vituoni na pembezoni mwa njia kuu ya barabara, wengine wameondoka wengi wao wamegoma, masai wao ndio kabisaa wanapanga vitu barabarani na stands, usiku ni kama kawa wanarejea kama wote, wanajazana mno kama zamani. Tofauti ni kuwa angalau wameacha kijinafasi cha watu Kupita.

20211124_102802.jpg
 
Wana Jf

Ukisikia watu jeuri ni hawa vijana wajasiliamali Aka Machinga tegeta, ambao rahis wa awamu ya tano aliwahi kusimama dakika kumi na tano kuomba kura kwa kurudia Rudia akimwombea Gwajiboy jimbo la kinondoni. Wakiwa na huruka ule ule, Mama akiwa njiani kwenda kunadi sera ya utalii nchini, alipita tegeta kuwasalimia pia na kuwasii wapokee chanjo akiwa ameongozana na Gwaji boy kama kwamba vijana hawa walipeana taarifa, aliwanbia "Mtachanja" wao hatuchangii, akarudia tena wakajibu "hatuchangii" jambo lililomshutua, na kubaki akitabasamu baadae akaondoka.

Vijana hawa waliambiwa na serikali kuondoka vituoni na pembezoni mwa njia kuu ya barabara, wengine wameondoka wengi wao wamegoma, masai wao ndio kabisaa wanapanga vitu barabarani na stands, usiku ni kama kawa wanarejea kama wote, wanajazana mno kama zamani. Tofauti ni kuwa angalau wameacha kijinafasi cha watu Kupita.
Uongo mwingine haujaenda shule kabisa.

Tegeta kwa Ndevu chinga wote wamesepa. Na wangebaki wangekiona cha moto..
 
Uongo mwingine haujaenda shule kabisa.

Tegeta kwa Ndevu chinga wote wamesepa. Na wangebaki wangekiona cha moto..
Umepita lini hapo kituoni uoni masai wanauza pipi na maji, wale wa ulojo na bagia uwaoni. Njoo jioni saa 11 uone watu
 
Wana Jf

Ukisikia watu jeuri ni hawa vijana wajasiliamali Aka Machinga tegeta, ambao rahis wa awamu ya tano aliwahi kusimama dakika kumi na tano kuomba kura kwa kurudia Rudia akimwombea Gwajiboy jimbo la kinondoni. Wakiwa na huruka ule ule, Mama akiwa njiani kwenda kunadi sera ya utalii nchini, alipita tegeta kuwasalimia pia na kuwasii wapokee chanjo akiwa ameongozana na Gwaji boy kama kwamba vijana hawa walipeana taarifa, aliwanbia "Mtachanja" wao hatuchangii, akarudia tena wakajibu "hatuchangii" jambo lililomshutua, na kubaki akitabasamu baadae akaondoka.

Vijana hawa waliambiwa na serikali kuondoka vituoni na pembezoni mwa njia kuu ya barabara, wengine wameondoka wengi wao wamegoma, masai wao ndio kabisaa wanapanga vitu barabarani na stands, usiku ni kama kawa wanarejea kama wote, wanajazana mno kama zamani. Tofauti ni kuwa angalau wameacha kijinafasi cha watu Kupita.
Tunahitaji vijana jeuri mfano wa hao ili nchi ikombolewe toka kwa manyangau
 
Uongo mwingine haujaenda shule kabisa.

Tegeta kwa Ndevu chinga wote wamesepa. Na wangebaki wangekiona cha moto..
HAPA TEGETA KWA NDEVU NYUMA YA KITUO CHA KARIAKOO, WAMEHAMA KAMA HAWAJAHAMA. WANAPANGA BIASHARA JUU YA MABOX YA NYANYA. INGAWA VIBANDA VYOOTE JUU YA MTARO WAMEONDOA. LAKINI NI KWELI MAMA TULIMJIBU "HATUCHANJIII"
 
Mungu fundi. Kwa nini nasema hivi? Yani cheki sehemu za siri ya mwanaume kwaanzia poumbou hadi gegedo Yani alivyocheza na wirering. Yani kuna vitube vidogodogo urethra na van difference. Vimeattach poumbou na gegedo hadi kwenye figo huko.

Mungu fundi.
 
Mungu fundi. Kwa nini nasema hivi? Yani cheki sehemu za siri ya mwanaume kwaanzia poumbou hadi gegedo Yani alivyocheza na wirering. Yani kuna vitube vidogodogo urethra na van difference. Vimeattach poumbou na gegedo hadi kwenye figo huko.

Mungu fundi.
Hii nazani iko nje ya Mada Mkuu!!
 
Uongo mwingine haujaenda shule kabisa.

Tegeta kwa Ndevu chinga wote wamesepa. Na wangebaki wangekiona cha moto..
Babu umemjibu mdau Kwa hisia kali sana.

Na wewe ni Sirikali Babu?
 
Umepita lini hapo kituoni uoni masai wanauza pipi na maji, wale wa ulojo na bagia uwaoni. Njoo jioni saa 11 uone watu
Kampeni haikuwa kuondoa watu bali kuyavunjilia mbali mabanda...

Kuna banda unaliona pale?
 
HAPA TEGETA KWA NDEVU NYUMA YA KITUO CHA KARIAKOO, WAMEHAMA KAMA HAWAJAHAMA. WANAPANGA BIASHARA JUU YA MABOX YA NYANYA. INGAWA VIBANDA VYOOTE JUU YA MTARO WAMEONDOA. LAKINI NI KWELI MAMA TULIMJIBU "HATUCHANJIII"
Lengo lilikuwa kuondoa uchafu wenu ule wa mabanda. Kama mnauza mkiwa mmepanga kwenye mabox yenu hatuna shida na nyie

Na vile vitambulisho bado mnavyo?
 
Wana Jf

Ukisikia watu jeuri ni hawa vijana wajasiliamali Aka Machinga tegeta, ambao rahis wa awamu ya tano aliwahi kusimama dakika kumi na tano kuomba kura kwa kurudia Rudia akimwombea Gwajiboy jimbo la kinondoni. Wakiwa na huruka ule ule, Mama akiwa njiani kwenda kunadi sera ya utalii nchini, alipita tegeta kuwasalimia pia na kuwasii wapokee chanjo akiwa ameongozana na Gwaji boy kama kwamba vijana hawa walipeana taarifa, aliwanbia "Mtachanja" wao hatuchangii, akarudia tena wakajibu "hatuchangii" jambo lililomshutua, na kubaki akitabasamu baadae akaondoka.

Vijana hawa waliambiwa na serikali kuondoka vituoni na pembezoni mwa njia kuu ya barabara, wengine wameondoka wengi wao wamegoma, masai wao ndio kabisaa wanapanga vitu barabarani na stands, usiku ni kama kawa wanarejea kama wote, wanajazana mno kama zamani. Tofauti ni kuwa angalau wameacha kijinafasi cha watu Kupita.
Bunju B ndo kabisaaa, haondoki mtu barabarani.
 
Hatuchangiii ndo nini anko . Jinoe noe kwanza naona ulimi bado haujanyooka dogo .kilugha kimekukaa mno.
 
Wana Jf

Ukisikia watu jeuri ni hawa vijana wajasiliamali Aka Machinga tegeta, ambao rahis wa awamu ya tano aliwahi kusimama dakika kumi na tano kuomba kura kwa kurudia Rudia akimwombea Gwajiboy jimbo la kinondoni. Wakiwa na huruka ule ule, Mama akiwa njiani kwenda kunadi sera ya utalii nchini, alipita tegeta kuwasalimia pia na kuwasii wapokee chanjo akiwa ameongozana na Gwaji boy kama kwamba vijana hawa walipeana taarifa, aliwanbia "Mtachanja" wao hatuchangii, akarudia tena wakajibu "hatuchangii" jambo lililomshutua, na kubaki akitabasamu baadae akaondoka.

Vijana hawa waliambiwa na serikali kuondoka vituoni na pembezoni mwa njia kuu ya barabara, wengine wameondoka wengi wao wamegoma, masai wao ndio kabisaa wanapanga vitu barabarani na stands, usiku ni kama kawa wanarejea kama wote, wanajazana mno kama zamani. Tofauti ni kuwa angalau wameacha kijinafasi cha watu Kupita.
Washughulikiwe ni zamu yao. Wao walikuwa kimya wakati wafanya biashara na wanasiasa wakishughulikiwa.

Ni zamu yao.
 
Back
Top Bottom