Pale kulikuwa na takataka nyingi sana. Hapa porini hapako vile aiseeKampeni haikuwa kuondoa watu bali kuyavunjilia mbali mabanda...
Kuna banda unaliona pale?
Manyangau si ndio nyie nyie ccm?Tunahitaji vijana jeuri mfano wa hao ili nchi ikombolewe toka kwa manyangau
Wangepigwa hadi wachakae hao wapuuuziUongo mwingine haujaenda shule kabisa.
Tegeta kwa Ndevu chinga wote wamesepa. Na wangebaki wangekiona cha moto..
Mkilazimisha sana kifo kitafanya yakeMimi ni TEAM MAMA
Mama apewe mitano tena... atake asitake
Umeona uenda KVant imeongeaHii nazani iko nje ya Mada Mkuu!!
Mtano ashachukua na aongeze mandege yawe mengi tuMimi ni TEAM MAMA
Mama apewe mitano tena... atake asitake
Wapo wamerejea upya posta. Hii saa 11Washughulikiwe ni zamu yao. Wao walikuwa kimya wakati wafanya biashara na wanasiasa wakishughulikiwa.
Ni zamu yao.
Mama TOZO kama tozo yaniMimi ni TEAM MAMA
Mama apewe mitano tena... atake asitake