Walionivutia JF 2015, Hii ni 10 bora yangu.

Walionivutia JF 2015, Hii ni 10 bora yangu.

1.Pasco
2.Chige
3.OLESAIDIMU.
4.Matumbo.
5.Gentamcyne
6.Lizaboni
7.Sembo
8.Muuza sura
9.The Boss
10.Faizafoxy.
11.Laki si pesa.
12.Mmawia
 
Yaani hata mimi nimekosekana hapo ...daah duniani hamna haki
 
Naweza sema kuna great thinkers wengi sana humu wenye vitu adimu na hoja zenye mashiko, wako wengi kwa kweli walionivutia mwaka huu tunaoumaliza 2015, lakini hawa ni 10 kati ya hao wengi.

10. Sport's lady @everlink
9. @lizabon
8. @faizafox
7. @Watu8
6. @Nguruvi3
5. @Wacha1
4. @Kichuguu
3. @KikulachoChako
2. @Chief-Mkwawa
1. Huyu namwita mtaalamu wa ghaibu @mshanajr.
Salute @Chief-Mkwawa. Wengine hushindwa kuficha mahaba ktk 'vitengo' vyao! Huyu jamaa ktk jukwaa la tech ni nux!
 
Malcom lumumba,Evelyn salt,miss chaga, Mo 11, nyani ngabu,emporer,kingkong na wengine wengi.
 
Kama hazina maana mngekuwa mnazipita hizo posts, ila kila mkiziona huwa mnawashwa kuzifungua.

Naamini mnazikubali kiaina.
nope mimi sifunguagi uzi walioanzisha wao hata siku moja, ila naona comment zao kwenye uzi za watu wengine, zimekaa kishabiki, na zinakua na lugha isiyo ya kistaarabu, yaani ni watu fulani ambao hawa reason kabisa...samahani kama nimeudhi mtu
 
Back
Top Bottom