Waliooa wamasai tupeane changamoto na ubora wao

HaaΓ aah mkuuuuu kunywa thoda, ntalipa
 
Wako bombs sanaaa, wana misimamo, hawatakupa stresss
 
mtoto wangu wa kike akose chura alafu akose wa kumuoa aje jf kutafuta mume.

Kwani wenye chura wote wameolewa? Halafu ni wababa wachache sana wako proud man chura za watoto wao ila wako proud sana na akili za watoto wao. Hakuna baba anayesema huyu ni binti yangu ana chura bali anasema huyu ni binti yangu Dr. au engineer m.
Halafu watoto wako wa kiume unataka wawe na akili za panzi? Maana wao hawarithi chura.
 
Very,, very wisdom
 
Hiyo Namba tano inaweza kuwa mtihani maana asije akaliwa Kimasihara.
 
Huwa hawavai Pichu na wanatabia za kukaa chini so michanga huingia kunako.. mida ya kula cha usiku unapuliza puliza michanga itoke ule goma...πŸ˜‰ Mnunulie Pichu za Kutosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…