Waliooa wanaongoza kwa kuvaa nguo zilizopauka

Waliooa wanaongoza kwa kuvaa nguo zilizopauka

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,527
Reaction score
3,811
Mwanaume aliyeoa nguo zake zikivaliwa mara moja tu, zinafuliwa. Yani akivaa leo akifika inatupiwa kwenye japu tayari kwa kufuliwa.

Mnafahamu wetu kutokana na uwezo tunanunua cardet au jinsi za bei chee ambazo ni rahisi sana kupauka. Sasa nguo ambayo inavaliwa mara moja na kufuliwa unafikiri itakuaje? Ndiomana ukiwaona utawahurumia, nguo zimepauka kinoma.

Ambao hatujaoa, nguo uvaa atleast mwezi mmoja ndio unaifua. Unafikiri itaupauka lini.? Kuna kipindi niliwahi kuwa na jinsi toka nimenunua mpaka inachakaa sikuwahi kufua. Nilikuwa nafuta tu vumbi.

Mliooa punguzeni kuvaa nguo zilizopauka. Jiwe gizani, akilia ujua limempata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume aliyeoa nguo zake zikivaliwa mara moja tu, zinafuliwa. Yani akivaa leo akifika inatupiwa kwenye japu tayari kwa kufuliwa.

Mnafahamu wetu kutokana na uwezo tunanunua cardet au jinsi za bei chee ambazo ni rahisi sana kupauka. Sasa nguo ambayo inavaliwa mara moja na kufuliwa unafikiri itakuaje? Ndiomana ukiwaona utawahurumia, nguo zimepauka kinoma.

Ambao hatujaoa, nguo uvaa atleast mwezi mmoja ndio unaifua. Unafikiri itaupauka lini.? Kuna kipindi niliwahi kuwa na jinsi toka nimenunua mpaka inachakaa sikuwahi kufua. Nilikuwa nafuta tu vumbi.

Mliooa punguzeni kuvaa nguo zilizopauka. Jiwe gizani, akilia ujua limempata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Majukumu ndio yanafanya Nguo zinapauka mkuu kufua sana ni kisingizio

CC Zero IQ
 
Uzi tayari...

]Kupata hakuna kudogo
 
ukishaoa usharobaro wanini manguonguo ya rangirangi
 
Shida hii sasa..

you may not start conversation with the following recipient;Tairus
 
Mwanaume aliyeoa nguo zake zikivaliwa mara moja tu, zinafuliwa. Yani akivaa leo akifika inatupiwa kwenye japu tayari kwa kufuliwa.

Mnafahamu wetu kutokana na uwezo tunanunua cardet au jinsi za bei chee ambazo ni rahisi sana kupauka. Sasa nguo ambayo inavaliwa mara moja na kufuliwa unafikiri itakuaje? Ndiomana ukiwaona utawahurumia, nguo zimepauka kinoma.

Ambao hatujaoa, nguo uvaa atleast mwezi mmoja ndio unaifua. Unafikiri itaupauka lini.? Kuna kipindi niliwahi kuwa na jinsi toka nimenunua mpaka inachakaa sikuwahi kufua. Nilikuwa nafuta tu vumbi.

Mliooa punguzeni kuvaa nguo zilizopauka. Jiwe gizani, akilia ujua limempata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani umeona uje ujisifie uchafu wako hapa ndani, mbona watu wameoa na ni wasafi sana, tofautisha ugumu wa maisha na usafi ww bwana mdogo, oa acha wenge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom