Waliooa wanawake wanaofanya kazi

Waliooa wanawake wanaofanya kazi

Huyo jamaa yako,kama jambo dogo la kiasi hicho analiombea ushauri kwa mtu mwingine basi ana udhaifu wa hali ya juu sana,inaonekana ametawaliwa na huyo mwanamke,

Pia wewe unatakiwa uache kujiingiza kwenye mahusiana ya watu,acha kua mshauri wa mahusiano ya watu,acha kuingilia mahusiano ya watu,
At the end wewe ndiye utaonekana mtu mbaya kwenye mahusiano yao,

Fanya mambo yako.
Nd maana mpk sasa sijamjibu chchte...maana watu wanaolala pamoja naked co wa kuwashauri
 
Situation iko hivi...huyo manzi ni shemeji yangu...wanapiga kazi wote k.koo....jamaa kila cku anampa elfu 5...na ujie hapo wanapanda gari moja so nauli mda mwingi analipa mwana....!!so jamaa mambo anaona hayakai sawa...leo nd kaamka kuniomba ushauri...na mimi roho yangu nnaijua nd maana nkalileta huku kwanza angalau npate vitu vya kuongezea

Kiufupi ni kuwa dem anajenga kwao ...!na mwana hata kiwanja haana
Mwanao aache uboya
 
Situation iko hivi...huyo manzi ni shemeji yangu...wanapiga kazi wote k.koo....jamaa kila cku anampa elfu 5...na ujie hapo wanapanda gari moja so nauli mda mwingi analipa mwana....!!so jamaa mambo anaona hayakai sawa...leo nd kaamka kuniomba ushauri...na mimi roho yangu nnaijua nd maana nkalileta huku kwanza angalau npate vitu vya kuongezea

Kiufupi ni kuwa dem anajenga kwao ...!na mwana hata kiwanja

Kama mkeo anafanya kazi...

Majukumu ya ndani unaysimamia mwenyew vizuri

Jukumu la kodi pia unalisimamia wewe mwenyew vizuri

KUNA HAJA YA KUMPA HELA YA NAULI NA YA KULA AKIENDA KAZINI??
Kama mwanamke anapata mshahara huyo mwamba hatakiwi kumpa hela ya nauli wala kula na hata wakipanda gari moja alipe yeye mwenyewe mwanamke na pia kama nyumbani kuna beki tatu mwanamke ndyo jukumu lake kumlipa beki tatu kwasababu majukumu aliyotakiwa kufanya yeye anafanya beki tatu so amlipe yeye hawa wanawake siyo wa kuwachekea
 
Situation iko hivi...huyo manzi ni shemeji yangu...wanapiga kazi wote k.koo....jamaa kila cku anampa elfu 5...na ujie hapo wanapanda gari moja so nauli mda mwingi analipa mwana....!!so jamaa mambo anaona hayakai sawa...leo nd kaamka kuniomba ushauri...na mimi roho yangu nnaijua nd maana nkalileta huku kwanza angalau npate vitu vya kuongezea

Kiufupi ni kuwa dem anajenga kwao ...!na mwana hata kiwanja haana
Kuna wanaume ni wapumbaf dunia hii🤣🤣🤣🤣
 
Biblia ilishatuambia
"Mwanamke anayekaa nyumbani kutunza familia na kulea watoto na kusimamia majukumu yote ya familia ni jukumu la mwanamme kumtimizia mahitaji yake yote"
Ina maana wale Wanawake wanaotoka kwenda makazini na kuachia mahouse girl majukumu ya nyumbani, wanatakiwa washiriki moja kwa moja kwenye maendeleo ya mafamilia kwa kuchangia kipato chao.
Nafikiri imebakia kwa wanaume/wanawake wachache ambao hawana maarifa, ndio wanafikiri mwanamke akiwa na kazi hela zake ni zake peke yake?
Biblia gani hiyo?
 
Kama mkeo anafanya kazi...

Majukumu ya ndani unaysimamia mwenyew vizuri

Jukumu la kodi pia unalisimamia wewe mwenyew vizuri

KUNA HAJA YA KUMPA HELA YA NAULI NA YA KULA AKIENDA KAZINI??
Mpe tu yaishe. Vinginevyo atakuambia neno moja mtapoteana humo ndani siku mbili.
 
Situation iko hivi...huyo manzi ni shemeji yangu...wanapiga kazi wote k.koo....jamaa kila cku anampa elfu 5...na ujie hapo wanapanda gari moja so nauli mda mwingi analipa mwana....!!so jamaa mambo anaona hayakai sawa...leo nd kaamka kuniomba ushauri...na mimi roho yangu nnaijua nd maana nkalileta huku kwanza angalau npate vitu vya kuongezea

Kiufupi ni kuwa dem anajenga kwao ...!na mwana hata kiwanja haana
Wewe umejuaje kama anajenga kwao ili hali mwenye mke hajui? Nyie ndiyo wale wale, kuna familia moja walikuwa hawapendi mke wa ndugu Yao kisa eti ndugu yao hapeleki pesa yakutosha kwao anamjengea nyumba mkewe wakati si kweli hata ndugu wa mkewe hataki wawepo nyumbani kwake!
 
Huyo jamaa yako,kama jambo dogo la kiasi hicho analiombea ushauri kwa mtu mwingine basi ana udhaifu wa hali ya juu sana,inaonekana ametawaliwa na huyo mwanamke,

Pia wewe unatakiwa uache kujiingiza kwenye mahusiana ya watu,acha kua mshauri wa mahusiano ya watu,acha kuingilia mahusiano ya watu,
At the end wewe ndiye utaonekana mtu mbaya kwenye mahusiano yao,

Fanya mambo yako.
Sio kama antawaliwa na mkewe! Bali ni ujinga wake, huyo atakuwa anashauriwa hata nandugu zake hana kichwa chenye ubungo wala akili
 
Muache usikute mwenyewe ndio anapenda mambo ya hivyo, wanaishi kihindi
 
Wewe umejuaje kama anajenga kwao ili hali mwenye mke hajui? Nyie ndiyo wale wale, kuna familia moja walikuwa hawapendi mke wa ndugu Yao kisa eti ndugu yao hapeleki pesa yakutosha kwao anamjengea nyumba mkewe wakati si kweli hata ndugu wa mkewe hataki wawepo nyumbani kwake!.

!!nilimuambia jamaa achunguze...nd jibu alilonipa...!!
 
Huyo rafikiyo sijui wewe mwenyewe ni mjinga, unaanzaje kumpa pesa ya nauli na mshahara wake hujawahi kujua anaufanyia nini??

Hiyo ndoa au kijiwe cha wahuni.!! 😏
 
Kama mkeo anafanya kazi na kila mmoja mshahara wake anapangia majukumu yake mwambia aache kazi alee watoto
Ukiishi na mtu mbinafsi huwezi kutoboa na kama hawajaoana asimpangie
 
yeye huyo mkeo mshahara wake unatumika kwenye nini? mimi ni mwanamke lakini siwez kufanya hio dhambi ningejitegemea nauli na mambo yangu personal ibakie kama ntakwama siku moja moja anisaidie baba chanja lakini sio hivo.
Si bora hiyo kuna mmoja na mfahamu, kaachiwa gesti moja, bar,fremu za biashara kama nne,nyumba mbili zina wapangaji full, kafunguliwa frem ya duka la nguo, mtaji kapewa na mmewe. Ila bado anahitaji hela ya matumizi,kila mwezi,anahitaji hela ya kulipiwa kodi ya fremu yake ya biashara na hela ya mafuta ya gari anayo tembelea na matumizi mengine binafsi na mtaji ukikatika mmewe anatoa.

Hela ya gesti, nyumba mbili zenye wapangaji, fremu tatu za biashara na biashara zake binafsi hata yy mwenyewe hajui kazipeleka wapi,mmewe kuna kipindi alipataga changamoto za kiuchumi ila mkewe hakumsupport.

Kuna mwan mmoja dereva wa bajaj, sasa kuna usiku mmoja alikesha ila biashara haikuwa nzuri. Asubuhi mkewe anataka hela ya pampas, akamwambia kama ana kaakiba akanunue,ila mchana akiingia mzigoni atampa,demu kakomaa ila jamaa akambembeleza ,baadae akamfunga mtoto vikanga. Sasa mwana siku hiyo alichelewa kuamka halafu simu, alijitupia alivyo rudi usiku wa jana,mke kaenda kununua vitafunio. Mwamba tafuta sana simu yake wapi,vurugua kitanda,kwenye makochi,upande wake kabatini ila wapi. Akasema ngoja angalie upande wa mkewe,kupekua pekua anakutana 1.2m,anamuuliza mkewe kwa aibu anadai mzee wao aliuza kiwanja alimpa kila mtu 1.5m kwa hiyo yy kishatumia 300k kabakiwa na hiyo 1.2m,mwana alichoka, yaani mkewe kitoa mia tano kwenye 1.2m ya pampas alishindwa. Sometimes si wa nyumbani wala wanao fanya kazi ,kiasili mwanamke ni mbinafsi japo wachache sana wanaokubali kushare. Haya mambo sometimes yaani kuomba Mungu, halafu wanavyo wasumbua wachungaji na waganga wakienyeji kwenye kutafuta waume, wakiwapata wanawatenda hivi.

Ndio maana kuna wazee wanasema kwenye nyumba kama mke ana milioni,mume ana laki mbili basi jumla nyumba ina milioni mbili.
 
Back
Top Bottom