BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
- Thread starter
-
- #21
Nd maana mpk sasa sijamjibu chchte...maana watu wanaolala pamoja naked co wa kuwashauriHuyo jamaa yako,kama jambo dogo la kiasi hicho analiombea ushauri kwa mtu mwingine basi ana udhaifu wa hali ya juu sana,inaonekana ametawaliwa na huyo mwanamke,
Pia wewe unatakiwa uache kujiingiza kwenye mahusiana ya watu,acha kua mshauri wa mahusiano ya watu,acha kuingilia mahusiano ya watu,
At the end wewe ndiye utaonekana mtu mbaya kwenye mahusiano yao,
Fanya mambo yako.
Mwanao aache uboyaSituation iko hivi...huyo manzi ni shemeji yangu...wanapiga kazi wote k.koo....jamaa kila cku anampa elfu 5...na ujie hapo wanapanda gari moja so nauli mda mwingi analipa mwana....!!so jamaa mambo anaona hayakai sawa...leo nd kaamka kuniomba ushauri...na mimi roho yangu nnaijua nd maana nkalileta huku kwanza angalau npate vitu vya kuongezea
Kiufupi ni kuwa dem anajenga kwao ...!na mwana hata kiwanja haana
Situation iko hivi...huyo manzi ni shemeji yangu...wanapiga kazi wote k.koo....jamaa kila cku anampa elfu 5...na ujie hapo wanapanda gari moja so nauli mda mwingi analipa mwana....!!so jamaa mambo anaona hayakai sawa...leo nd kaamka kuniomba ushauri...na mimi roho yangu nnaijua nd maana nkalileta huku kwanza angalau npate vitu vya kuongezea
Kiufupi ni kuwa dem anajenga kwao ...!na mwana hata kiwanja
Kama mwanamke anapata mshahara huyo mwamba hatakiwi kumpa hela ya nauli wala kula na hata wakipanda gari moja alipe yeye mwenyewe mwanamke na pia kama nyumbani kuna beki tatu mwanamke ndyo jukumu lake kumlipa beki tatu kwasababu majukumu aliyotakiwa kufanya yeye anafanya beki tatu so amlipe yeye hawa wanawake siyo wa kuwachekeaKama mkeo anafanya kazi...
Majukumu ya ndani unaysimamia mwenyew vizuri
Jukumu la kodi pia unalisimamia wewe mwenyew vizuri
KUNA HAJA YA KUMPA HELA YA NAULI NA YA KULA AKIENDA KAZINI??
utakufa wakat sio wako, kazi yake imlipie nauli na chakulaHailetwi...!!dem anajenga huko kwao
Kuna wanaume ni wapumbaf dunia hii🤣🤣🤣🤣Situation iko hivi...huyo manzi ni shemeji yangu...wanapiga kazi wote k.koo....jamaa kila cku anampa elfu 5...na ujie hapo wanapanda gari moja so nauli mda mwingi analipa mwana....!!so jamaa mambo anaona hayakai sawa...leo nd kaamka kuniomba ushauri...na mimi roho yangu nnaijua nd maana nkalileta huku kwanza angalau npate vitu vya kuongezea
Kiufupi ni kuwa dem anajenga kwao ...!na mwana hata kiwanja haana
Biblia gani hiyo?Biblia ilishatuambia
"Mwanamke anayekaa nyumbani kutunza familia na kulea watoto na kusimamia majukumu yote ya familia ni jukumu la mwanamme kumtimizia mahitaji yake yote"
Ina maana wale Wanawake wanaotoka kwenda makazini na kuachia mahouse girl majukumu ya nyumbani, wanatakiwa washiriki moja kwa moja kwenye maendeleo ya mafamilia kwa kuchangia kipato chao.
Nafikiri imebakia kwa wanaume/wanawake wachache ambao hawana maarifa, ndio wanafikiri mwanamke akiwa na kazi hela zake ni zake peke yake?
haumpi nauli bali unachofanya ni kugawana majukumu kama yeye analipia kodi wewe unamalizia kodi na.miradi
Hata mimi nimeshangaa sanaBiblia gani hiyo?
Mpe tu yaishe. Vinginevyo atakuambia neno moja mtapoteana humo ndani siku mbili.Kama mkeo anafanya kazi...
Majukumu ya ndani unaysimamia mwenyew vizuri
Jukumu la kodi pia unalisimamia wewe mwenyew vizuri
KUNA HAJA YA KUMPA HELA YA NAULI NA YA KULA AKIENDA KAZINI??
King James VersionBiblia gani hiyo?
Kwema mkuu Cassnzoba ?
Wewe umejuaje kama anajenga kwao ili hali mwenye mke hajui? Nyie ndiyo wale wale, kuna familia moja walikuwa hawapendi mke wa ndugu Yao kisa eti ndugu yao hapeleki pesa yakutosha kwao anamjengea nyumba mkewe wakati si kweli hata ndugu wa mkewe hataki wawepo nyumbani kwake!Situation iko hivi...huyo manzi ni shemeji yangu...wanapiga kazi wote k.koo....jamaa kila cku anampa elfu 5...na ujie hapo wanapanda gari moja so nauli mda mwingi analipa mwana....!!so jamaa mambo anaona hayakai sawa...leo nd kaamka kuniomba ushauri...na mimi roho yangu nnaijua nd maana nkalileta huku kwanza angalau npate vitu vya kuongezea
Kiufupi ni kuwa dem anajenga kwao ...!na mwana hata kiwanja haana
Sio kama antawaliwa na mkewe! Bali ni ujinga wake, huyo atakuwa anashauriwa hata nandugu zake hana kichwa chenye ubungo wala akiliHuyo jamaa yako,kama jambo dogo la kiasi hicho analiombea ushauri kwa mtu mwingine basi ana udhaifu wa hali ya juu sana,inaonekana ametawaliwa na huyo mwanamke,
Pia wewe unatakiwa uache kujiingiza kwenye mahusiana ya watu,acha kua mshauri wa mahusiano ya watu,acha kuingilia mahusiano ya watu,
At the end wewe ndiye utaonekana mtu mbaya kwenye mahusiano yao,
Fanya mambo yako.
Wewe umejuaje kama anajenga kwao ili hali mwenye mke hajui? Nyie ndiyo wale wale, kuna familia moja walikuwa hawapendi mke wa ndugu Yao kisa eti ndugu yao hapeleki pesa yakutosha kwao anamjengea nyumba mkewe wakati si kweli hata ndugu wa mkewe hataki wawepo nyumbani kwake!.
!!nilimuambia jamaa achunguze...nd jibu alilonipa...!!
Umeshamuoa?Hailetwi...!!dem anajenga huko kwao
Si bora hiyo kuna mmoja na mfahamu, kaachiwa gesti moja, bar,fremu za biashara kama nne,nyumba mbili zina wapangaji full, kafunguliwa frem ya duka la nguo, mtaji kapewa na mmewe. Ila bado anahitaji hela ya matumizi,kila mwezi,anahitaji hela ya kulipiwa kodi ya fremu yake ya biashara na hela ya mafuta ya gari anayo tembelea na matumizi mengine binafsi na mtaji ukikatika mmewe anatoa.yeye huyo mkeo mshahara wake unatumika kwenye nini? mimi ni mwanamke lakini siwez kufanya hio dhambi ningejitegemea nauli na mambo yangu personal ibakie kama ntakwama siku moja moja anisaidie baba chanja lakini sio hivo.
Wewe ni muongo.!King James Version