haki ya mwenyezi Mungu, Uislamu na Waislamu sometimes ni Nouma, ninyi ni ndugu zetu lakini wakati mwingine hamjiulizi cha kufanya ila mnataka vitokee tuu kama Mana kule jangwani kipindi cha Nabii Musa na wana wa Israeli. Hakuna kitu ya namna hiyo Mungu alisema asiyefanya kazi basi asile, Shika sana Elimu sasa ninyi ndugu zetu bado hamtakikuikama vizuri elimu kwahiyo hata kula yenulazima iwe ya tabu, na niwangapi wako tayarikupeleka watoto kwenye shule ya gharama wakatikipato chake ni cha kununua kanga, kanzu na kupika wali nazi tu? Priorities in life ni muhimu sana