Waliopanda ndege ya Mama kwenda Algeria ni mashabaiki wa Yanga SC au wavaa suti tu wanaokwenda kutalii na kupiga selfie?

Huwezi kwenda wakati huwezi kununua hata maji ya wachezaji, asilimia kubwa wameenda watu ambao wanaweza kuongeza motivation kwa Timu na siyo unaenda huko na hela yako ya kodi ya nyumba Kwa Mnyamani ukirudi unatimuliwa
Hivi vigezo umevileta wewe Sasa .
 
Matumizi mabaya ya national cake. Watoto wanakosa madawati shuleni, Wajazito wananunua gloves, maji shida & Vijana hawana ajira n.k hela zinawekwa kununua magoli na usafiri wa kilabu vitu visivyo na ulazima kwa Taifa
 
Matumizi mabaya ya national cake. Watoto wanakosa madawati shuleni, Wajazito wananunua gloves, maji shida n.k hela zinawekwa kununua magoli na usafiri wa kilabu vitu visivyo na ulazima
Kuna ubaya nchi kusapoti michezo ??
 
1. Sijamwona shabiki maarufu Mzee mpili akipanda ndege

2. Sijamwona shabiki wa JASHO na damu Jeshi la mtu mmoja MZEE WA UTOPOLO akipanda ndege

3. Sijamwona Mzee wa vigelegele akipanda ndege

4. Sijamwona mboto mbotinyo akipanda ndege

5. Sijamwona mtanga comedy akipanda ndege

6. Sijamwona Mzee Senga comedy akipanda ndege

7. Sijamwona yule jamaa wa kitambi bandia na kujipaka masizi akipanda ndege

Hawa ndio nawajua mashabiki wafia timu kutoka miaka dahar.
 
Siasa za bongo kwenye mechi wanakwenda na picha za mtu na kuuza nazo sura.
Lazima timu ifungwe in any way!
Uchawa ukizidi ni shida kwa namna yeyote ile ukubali au ukatae uchawa ni nuksi.
 
Viongozi wa kisiasa wa kitanzania wakijiingizaga tu kwenye jambo la kheri linavurugika.
 
Hao wote wameenda kaka
 
Naona umekubali kuwa mna viongozi masela.
 
Huwezi kwenda wakati huwezi kununua hata maji ya wachezaji, asilimia kubwa wameenda watu ambao wanaweza kuongeza motivation kwa Timu na siyo unaenda huko na hela yako ya kodi ya nyumba Kwa Mnyamani ukirudi unatimuliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pamoja na yulee mvaa capelo kwa nyuma, pia kimwanyA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka hapa bongo kuna timu zilipigwa faini baada ya kushindwa kumudu hela ya nauli

Nimesahau ni timu gani
 
Kwa maoni yangu binafsi, nadhani issue haikuwa mtu kupanda ndege na kutua Algeria tu, ilikuwa ni pamoja na uwezo wa mtu kujilipia gharama za malazi na chakula anapokuwa huko; na vile vile kuwa na visa ya kuingia Algeria.
 

Umemaliza kabisaa mkuu

Japo bado wamekaza vichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…