Reviews sometimes ni fake. Nimewahi kumpa mtu kazi Fiverr ana uwezo mdogo sana, nkaishia kucancel tu.Tafuta upwork na kabla ya kumpa kazi soma project zake za awali na review ya clients wake.
Bado haijaanza kunilipa mkuu niko kwenye kuwekeza bado kwa sasa sijala hata 10 kutoka hukoNaendelea kusoma comments.
Mkaruka na nafaka.. hongereni Sana
Upwork wako makini sana ndiyo maana nimeipendekeza maana mimi nafanya kazi freelaner, fiverr, na upwork na ni kati ya top rated freelancers kutoka tanzania huko upwork, so nafahamu jinsi wanavyoreview clients reviews ni reliable.Reviews sometimes ni fake. Nimewahi kumpa mtu kazi Fiverr ana uwezo mdogo sana, nkaishia kucancel tu.
Sema kuna Freelancing site mpya inaitwa Freeup.net wanafanya sana screening ya haki ya juu. Labda nitajaribu huko.
Issue ni kwenye malipo, hii ya kulipana per hour sijawahi kuielewa. Mfano unataka article writer atafanyaje kazi on hourly basis.
Asante sana kwa ushauri mkuu. Sifikiri pesa tu mkuu sababu contents ninazo za kutosha na kuhusu traffics ndio swala la kwanza kupambana nalo site ikiwa hewani. Nitapambana hadi kieleweke.Kama unaanza Blogging acha kwanza kufikiria unapataje pesa mwanzo tu, fikiria unaandaaje content nzuri, unapataje traffic kwenye blog yako. Ukianza na wazo la pesa utakata tamaa mapema Sana. Shusha content nzuri share sehem mbalimbali watu waitambue blog yako, then jifunze monetization.
Hivi huwa inachukua siku ngapi hadi kupata account ya Adsense mkuu?Binafsi ninazo 2. Moja Nilikuwa nafanya tricks ( zisizoathiri Adsense ) na traffic nikikuwa natoa Facebook. Ila Facebook siku hizi wamekuwa very strict, hivyo nimegundua tricks siyo long term solution, kama tricks inabidi kila mara utafute mpya.
So, nikaanzisha nyingine ambayo ni purely SEO-oriented.
Ingawa inatakuwa uwe patient maana Google wanaamini site kidogo kidogo kulingana na vigezo vyao.
Kuhusu blog za Afya unapaswa kuwa makini sana maana Google hawana utani, huwa zinapigwa sana penalty kwenye rankings. Ni kama ilivyo kwenye personal finance blogs.
Kuhusu Adsense binafsi sijawahi kushindwa kuipata, sijui why watu huwa wananunua ( Labda kama huna I.D au unakwepa usumbufu wa sanduku ka posta )
Matangazo umefanya Facebook ad au Google afs ?
Week 4 au zaid !Hivi huwa inachukua siku ngapi hadi kupata account ya Adsense mkuu?
Hivi mkuu account za kununua ubaya wake ni nini mbali na issue ya kufanya verification endapo utaambiwa uprove identity yako in one way or another?Mimi nina blg yangu ninaandika masuala ya afya hasa kisukari, ina miezi mitatu lakini traffic inaenda sawa. Nimeenga watu wanaozungumza kingereza na nimeifanyia matangazo ya kulipia sijapata adsense acccount bado sitaki za kununua nataka nipate ile yangu kabisa. Sina haraka kwasababu nina lengo la muda mrefu.
Uzuri ninakula pesa kwingine kupitia freelancing so sina haraka na pesa za adsense nataka niende kwa uhakika.
Blog yako inatakiwa kuwa na umri kuanzia week 4 na kuendelea. Na ukishaapply unasubiria kama siku 14 waifanyie review blog yako. Kwahiyo kama iko fresh ndani ya hizo siku 14 za review unapewa.Hivi huwa inachukua siku ngapi hadi kupata account ya Adsense mkuu?
Ukinunua kwa mtu mwaminifu, anayetoa ushirikiano, hakuna shida.Hivi mkuu account za kununua ubaya wake ni nini mbali na issue ya kufanya verification endapo utaambiwa uprove identity yako in one way or another?
Tatizo unazungumzia blog chafu chafu ya kupata traffic kwa njia za kudanganya na za kihuni.Mkuu karibu kwenye fani lenye watu wenye roho mbaya, wanafiki na wabinafsi waliopindukia.
Huku watu hawashei trick wala nini. Utaambulia kuoneshwa Dollars kwenye dashboard.
Blogger wenye roho nzuri Tanzania ni 1/20,000
Tena kuna blogger wakijua hata blog yako wanakufanyia figifu ufungiwe matangazo.
Baada ya kusema hayo, nikwambie tu usitegemee makubwa kutoka kwa bloggers wa kibongo. Anza mwenyewe huku ukijifunza along the process taratibu na kukaza kigumu. It takes time
mshua unapiga kazi mbili?Binafsi ninazo 2. Moja Nilikuwa nafanya tricks ( zisizoathiri Adsense ) na traffic nikikuwa natoa Facebook. Ila Facebook siku hizi wamekuwa very strict, hivyo nimegundua tricks siyo long term solution, kama tricks inabidi kila mara utafute mpya.
So, nikaanzisha nyingine ambayo ni purely SEO-oriented.
Ingawa inatakuwa uwe patient maana Google wanaamini site kidogo kidogo kulingana na vigezo vyao.
Kuhusu blog za Afya unapaswa kuwa makini sana maana Google hawana utani, huwa zinapigwa sana penalty kwenye rankings. Ni kama ilivyo kwenye personal finance blogs.
Kuhusu Adsense binafsi sijawahi kushindwa kuipata, sijui why watu huwa wananunua ( Labda kama huna I.D au unakwepa usumbufu wa sanduku ka posta )
Matangazo umefanya Facebook ad au Google afs ?
Taking advantage of the 'lindo's' free Wi-fimshua unapiga kazi mbili?
ulinzi+blogging
Samahani, je blog zenye maudhui ya kiswahili, nazo ad sense wanalipa?Au ni kwa lugha zilizochaguliwa tu.duuh nimekumbuka niko chuo niliangaika sana kuanzisha blog nakumbukuka michuzi ilikuwa hot sana niliangaika sana kupata adsense za google nilipata kwa kuomba kupitia website ya kampuni ndio nkapata adsense acccount ila nilikuwa ibiwa na mkenya fulani nilipokuwa bize na shule ilikuwa na dola 8 ..kuna jamaa nilikuwa nao hosteli walikuwa bize muda wote kutafuta habari na kufanya false clicking kwenye blogs za wengine wakose adsense..
wanalipaSamahani, je blog zenye maudhui ya kiswahili, nazo ad sense wanalipa?Au ni kwa lugha zilizochaguliwa tu.
Hapana.Samahani, je blog zenye maudhui ya kiswahili, nazo ad sense wanalipa?Au ni kwa lugha zilizochaguliwa tu.