Waliopata mikopo HESLB 2014/15

jamn nkuhusu wa ifm vp? maan kun wengine wa mwk wa 2 waliomba tena upya,mweny ufafanuzi a2saidie
 
Hii system ya kila chuo kutoa list ya wanafunzi waliobahatika kupata mkopo wanapojisikia ndio hivi hivi ilikua na mwaka jana au mwaka huu tu?
Wakuu tupatieni ufumbuzi juu ya hili.
jayiI7 hii ni nchi ya ajabu kweli. Badala ya HESLEB kuweka majina ya waliopata mkopo katika tovuti yao kwanza, wao wanatoa majina kwa kila chuo. Ni aibu Sana.
 
Last edited by a moderator:
Jamani, mbona Mimi nikifungua majina ya waliopata mkopo MUCE hayafunguki katika SIMU Yang?naomba msaada nifanyeje
 

ujinga tu wameufanya
 

saga chupa unywe umeshaambiwa kuwana subira
 
Jamani, mbona Mimi nikifungua majina ya waliopata mkopo MUCE hayafunguki katika SIMU Yang?naomba msaada nifanyeje

Mwanajopo lazima cm yako iwe inaweza kusoma pdf au uwe na adobe reader..... mm majina ya muce ninayo mkuu.... taja jina lako nkuchekie sasa hv
 
am about to lose my mind.naomba msaada kwa ss 2lie omba transfer mikopo watuma chuo gan coz transfer zenyewe hawaeleweki
 
Nimechoka na hii nchi ubabaishaji mwingi vijana tupo mitaani hatujui hatma yetu vyuo vishafunguliwa!!!
 
am about to lose my mind.naomba msaada kwa ss 2lie omba transfer mikopo watuma chuo gan coz transfer zenyewe hawaeleweki

wala usiwaze kama unasifa mkopo unakufuata.,ngoja upewe kwanza chuo mkuu..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…