Waliopata mikopo HESLB 2014/15

haya majina mbna yote ni km ya wnfnz wa fm 6 tu, sisi wa diploma vp?
 
Guys kwenye hizo columns za loan division ya stationery , tuition fees , meals and accommodation sasa kuna column moja imeamdikwa (SFR) hiyo ina maana gani
 
Guys kwenye hizo columns za loan division ya stationery , tuition fees , meals and accommodation sasa kuna column moja imeamdikwa (SFR) hiyo ina maana gani

Special faculty requirement
 
jamn nkuhusu wa ifm vp? maan kun wengine wa mwk wa 2 waliomba tena upya,mweny ufafanuzi a2saidie
IFM yapo chuo wamebandika ila wamepata watu wachache sana. Kuna kozi dogo kachaguliwa wako 486 lakini waliopewa mkopo ni watu 60
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…