kaka wametoa kweli m nimewapigia chuoni wakasema bado hawajapata majina.na kuhu usajiri kuna jamaa yangu yupo hapo mwaka wa pili amesema first year wameambiwa wasubilie kwanza mpaka majina ya mkopo yatoke
kaka wametoa kweli m nimewapigia chuoni wakasema bado hawajapata majina.na kuhu usajiri kuna jamaa yangu yupo hapo mwaka wa pili amesema first year wameambiwa wasubilie kwanza mpaka majina ya mkopo yatoke
hahahaha umeona ee..................... na tena kulikuaga na :A S 109:INTERVIEWEnzi Zetu Tunasubiri Kwenye Magazeti..Miaka Hii Mambo Safi Tu.
hk chuo cha makumira cjui vp..!! km kuna m2 amechaguliwa ani PM cna rafk kbxa
naomba unichekie jonutus, S0345/0260/2011
Amani Ramadhani
3891500/=
Upo dodoma college of informatics and virtual education
snteeee sana kk ilaaa ada wamelipa sh ngap?Hope ndo namna hiyo.