kaka wametoa kweli m nimewapigia chuoni wakasema bado hawajapata majina.na kuhu usajiri kuna jamaa yangu yupo hapo mwaka wa pili amesema first year wameambiwa wasubilie kwanza mpaka majina ya mkopo yatoke
Dah nilikuwa nawazia sana registration ila kama ndo hivyo ngoja tuendelee kutafuta hizo pesa zao