Jayll7
Senior Member
- May 20, 2014
- 170
- 21
kwann apa chuon kwetu Tia ata Ifm na Mzumbe hakuna diploma aliepata mkopo na ktk emails zetu bado hawajatupa taarifa zozote kama wafanyavyo miaka yote, au taratibu ni kama za TCU kwamba fm6 kwanza, msaada
Ndugu Vallentino ebu punguza jazba kidogo braza, eeh..!
Usije piga mtu bure.