Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwann apa chuon kwetu Tia ata Ifm na Mzumbe hakuna diploma aliepata mkopo na ktk emails zetu bado hawajatupa taarifa zozote kama wafanyavyo miaka yote, au taratibu ni kama za TCU kwamba fm6 kwanza, msaada
Habari,
Kutokana na bodi ya mikopo kutoa majina kama walivyofanya tume ya vyuo vikuu hivyo kulazimu wahusika kuyasaka. Nitayaweka hapa na kujitahidi kuyaongeza kadiri yanavyoongezeka.
SUA 2014
MUCE 2014
MZUMBE 2014
View attachment 191696
View attachment 191816
View attachment 191891
UDSM 2014
SJUIT 2014
wakuu chuo cha nit hawajatoa!? Cos nimeangalia cjaona k2,
Habari,
Kutokana na bodi ya mikopo kutoa majina kama walivyofanya tume ya vyuo vikuu hivyo kulazimu wahusika kuyasaka. Nitayaweka hapa na kujitahidi kuyaongeza kadiri yanavyoongezeka.
SUA 2014
MUCE 2014
MZUMBE 2014
View attachment 191696
View attachment 191816
View attachment 191891
UDSM 2014
SJUIT 2014
Vipi kuhusu udsm jaman
Guys kwenye hizo columns za loan division ya stationery , tuition fees , meals and accommodation sasa kuna column moja imeamdikwa (SFR) hiyo ina maana gani