Waliopata mkopo UDSM 2014/2015

Guys kwenye hizo columns za loan division ya stationery , tuition fees , meals and accommodation sasa kuna column moja imeamdikwa (SFR) hiyo ina maana gani???
 
Cha kusikitisa namba inakuwa kubwa ila % inayotolewa ni ndogo sana kwa idadi kubwa ya watu ili wakienda kule wanataja namba kubwa ya waliopata mikopo huku mzigo mkubwa ukibaki kwa familia
 
Guys kwenye hizo columns za loan division ya stationery , tuition fees , meals and accommodation sasa kuna column moja imeamdikwa (SFR) hiyo ina maana gani???

it means SPECIAL FACULTY REQUIREMENTS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…