Waliopata mkopo UDSM 2014/2015

Waliopata mkopo UDSM 2014/2015

Guys kwenye hizo columns za loan division ya stationery , tuition fees , meals and accommodation sasa kuna column moja imeamdikwa (SFR) hiyo ina maana gani???
 
Cha kusikitisa namba inakuwa kubwa ila % inayotolewa ni ndogo sana kwa idadi kubwa ya watu ili wakienda kule wanataja namba kubwa ya waliopata mikopo huku mzigo mkubwa ukibaki kwa familia
 
Back
Top Bottom