Waliopata mkopo UDSM 2014/2015

Waliopata mkopo UDSM 2014/2015

Wakuu vipi kwa wale tuliopo mwaka wap pili na tukaomba mkopo majibu yetu vipi
 
Kitu kinachoboa loan board hawapo updated kabixa hawajui vyuo vishafunguliwa???
 
naskia walioappeal hawatopata mkopo ndo wanajaza hyo idad ya watu 28000 sasa celew walioappeal nn?
 
Back
Top Bottom