Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umewah kumpata hapa jf [emoji15]?Badili mbinu angalia wapi panamapungufu rekebisha...hakika utapata
HapanaWewe umewah kumpata hapa jf [emoji15]?
Naomba tuwe marafiki wa karibuHapana
Karibu Rafiki anguNaomba tuwe marafiki wa karibu
Mambo vipKaribu Rafiki angu
Vip ushawahi kumpata?
Kumpata nani?Vip ushawahi kumpata?
Mbombo nunuMbomjo ngafu mzee baba! Komaa na hali yako tu
Mwenza wa maishaKumpata nani?
Nimempata ila bado sijajua kama ni mwenza wa maisha hayo unayoyaongelea weweMwenza wa maisha
PoaMambo vip
Hongera sana mkuu, kila rakheri pia mufikie lengo lenu[emoji120]Mimi nimempata humu ndani na penzi liko motomoto kweli na mtoto kajaaliwa roho swagi kabisa, wanaosema huwezi pata mke humu wajitafakari upya... Wapo wapenda fursa ila wapo wa ukweli nashukuru sana uwepo wa JF