Waliopata supplementary diploma wanaweza kuajiriwa mwaka huu?

Waliopata supplementary diploma wanaweza kuajiriwa mwaka huu?

king fighter

Member
Joined
Feb 10, 2015
Posts
19
Reaction score
5
Nataka kujua jamani kama wale waliosupua wanaweza ajiriwa bila kutuma barua TAMISEMI maana kunafununu wanasema bila kutuma maombi hawawezi ajiriwa kama miaka mingine mwenye ukweli kuhusu hili tafadhali
 
Hata ukituma barua hautaajiriwa hii ni kanuni ya utumishi....
 
Hata ukituma barua mia mbili huajiriwi kama ulishikwa utaendeleaa kukaa bench.


Nimenukuu maneno ya DR shukuru kawambwa juzi alivyokuaa anahojiwa ktk kipindi cha Temino j mosi mbili zilizopita.

Overrr
 
Hata ukituma barua mia mbili huajiriwi kama ulishikwa utaendeleaa kukaa bench.


Nimenukuu maneno ya DR shukuru kawambwa juzi alivyokuaa anahojiwa ktk kipindi cha Temino j mosi mbili zilizopita.

Overrr

kwani mh. Kawambwa alisemaje kwa waliopata supplementary?
 
Au yatafute yale mahojiano kwenye tovuti ya clouds radio
 
Watapata woteeee kama zamani....kama ni ivo mbona waliwachagua kwenda JKT?
 
mbona form six wanaenda JKT matokeo yakitoka wamefeli awaendi chuo nijuavyo hakuna uhusiano wowote kati ya JKT na ajira
 
Back
Top Bottom