Waliopewa vyeo vya Uwaziri na Unaibu Waziri wasiharibu taswira ya Rais Magufuli kwa maslahi yao!

Weka list ya viwanda 100@mkoa. Miaka mitano imeisha ili tuone Tanzania ya viwanda.
Subiri wakati wa kampeni maana unajitoaga ufahamu nikikutag kwenye kiwanda kipya kinachianzishwa
 
Baada tuu ya kutwangwa na Lissu katika introduction ya kutaka kugombea tayari mumeanza kutafutana uchawi?
Kampeni zitakapo anza sii itakuwa balaa kabisa? Safari hii haitakuwa pushups tena mtaruka samasoti na taulo bila kujua.
 
halafu wapuuzi hawa wanamtumia millard Ayo sijui Globa Tv ,tweeter n.k ...hebu acheni upuuzi
Hakuna Mwandishi mwenye bei ndogo Tanzania kama Millard Ayo. Nashukuru kwa kuliweka wazi hilo. Wachumia tumbo wengi wanamtumia wakidhani anawapaisha kumbe wenye akili wanawachora tu. Anatumiwa na Ma Dc watia nia, Ma RC watia nia, Mawazir na Manaibu makanjanja, Ma DED wenye makandokando nk.
 
Hawa ndio wale waandishi kanjanja wanaofika bei
 
Subiri wakati wa kampeni maana unajitoaga ufahamu nikikutag kwenye kiwanda kipya kinachianzishwa

Viwanda vipya vilikuwa vikianzishwa toka wakati wa mkoloni. Naongelea hii Tanzania ya viwanda. Narudia tena weka list ya viwanda 100@mkoa, mbona naeleweka tu boss.
 
Viwanda vipya vilikuwa vikianzishwa toka wakati wa mkoloni. Naongelea hii Tanzania ya viwanda. Narudia tena weka list ya viwanda 100@mkoa, mbona naeleweka tu boss.
Tusikimbiane tu kwenye uzi wa viwanda
 
Nikiweka list huwa huchangii

Thubutu, jiulize hilo jambo tulianza kulijadili 2016 na wala sijawahi kuyumba, huwezi kujiuliza kwamba ninajua ninachokihoji? Mkuu mimi nimeshatoka kwenye kundi la watanzania wenye uwezo wa kuongopewa, ninajua ninachohoji wala sibahatishi. Ili kuniumbua, weka hiyo list ya viwanda 100@mkoa ili niache kuchangia.
 
Tusikimbiane tu kwenye uzi wa viwanda

Weka list ili nikimbie, mimi sio wa kuongopewa, mtaji wenu mkubwa ni watu wenye uelewa finyu, ndio maana hapa nimekushikia chini unaishia kuleta porojo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…