Waliopiga marufuku dawa zisije nchini toka Cuba, wanaenda CUba kutibiwa wao na ndugu zao

Waliopiga marufuku dawa zisije nchini toka Cuba, wanaenda CUba kutibiwa wao na ndugu zao

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Polepole alileta hoja ya wagonjwa kujiandikisha wapate dawa kutoka CUBA akishirikiana na Hospital ya Kairuki

Tukaandika hapa kwamba mpango wake umepigwa vita na wanasiasa wenzake na kwamba hatofanikiwa.

Wale wanasiasa kwa sababu wana ndugu zao wagonjwa na kwa kuzingatia wanaweza kutumia kodi za wananchi kwenda CUBa, wao wameenda kupata huduma huku walala hoi wakisubiri protocol.

Pole pole ameamua kupokea simu kimya kimya kuwakwepa wahuni........kwa roho hizi mbaya tutafanikiwa? Au tutaishia kupigwa na magonjwa nyemelezi yasiyo na tiba kabla ya kufika 60 yrs?
 
Nimemuona mke wa Makonda akimpeleka nduguye Cuba.
 
Mh.Polepole alianza na the wrong foot ktk hizi dawa kutoka Cuba
Tell you what....huu ndiyo mwisho wake wa kisiasa....haijawahi kutokea Balozi nje ya nchì kutoa maagizo kwa wananchi walioko nyumbani.
Mbona Balozi wetu china alikuwa anatuhamasisha tukauze bidhaa China kuanzia Mihogo na kadhalika!? Acha double standard!!
 
Mh.Polepole alianza na the wrong foot ktk hizi dawa kutoka Cuba
Tell you what....huu ndiyo mwisho wake wa kisiasa....haijawahi kutokea Balozi nje ya nchì kutoa maagizo kwa wananchi walioko nyumbani.
We ni tabulasa fulani
 
Mh.Polepole alianza na the wrong foot ktk hizi dawa kutoka Cuba
Tell you what....huu ndiyo mwisho wake wa kisiasa....haijawahi kutokea Balozi nje ya nchì kutoa maagizo kwa wananchi walioko nyumbani.
Wasomi wetu Hawa.
 
Mh.Polepole alianza na the wrong foot ktk hizi dawa kutoka Cuba
Tell you what....huu ndiyo mwisho wake wa kisiasa....haijawahi kutokea Balozi nje ya nchì kutoa maagizo kwa wananchi walioko nyumbani.
Wrong foot?..you are foolish
Wewe kima na hako ka bima kako na hiyo afya uchwara unajiona mjanja sio?...
Siku yaja utalia na kusaga meno....
 
Mh.Polepole alianza na the wrong foot ktk hizi dawa kutoka Cuba
Tell you what....huu ndiyo mwisho wake wa kisiasa....haijawahi kutokea Balozi nje ya nchì kutoa maagizo kwa wananchi walioko nyumbani.
Shemeji Wewe ni mke wa Makamba junior? Maana umeandika kifisadi sana!
 
Sijui tatizo liko wapi kwa mtoa mada, hajaeleza dawa ni za Nini Wala zinatubu Nini, halafu poiepiie kwanini atumie hospital binafsi badala ya umma.
 
Back
Top Bottom