Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kuna watu huwa wanawaona waarabu kama hawana akili za kujitegemea.
Sasa Bashir Assad kaondolewa madarakani. Jee kaondolewa na Wasiria peke yao ama hao Wasiria wamesaidiwa na Marekani au Russia?
Kama Russia kwa maslahi gani na kama pia na Marekani, pia ni Kwa maslahi gani?
Sasa Bashir Assad kaondolewa madarakani. Jee kaondolewa na Wasiria peke yao ama hao Wasiria wamesaidiwa na Marekani au Russia?
Kama Russia kwa maslahi gani na kama pia na Marekani, pia ni Kwa maslahi gani?