Kwanza ni Uturuki, pili ni mataifa ya kiarabu yaliyo Sunni kwani Iran inayomsaidia Syria ni Shia na pia wamechoshwa na makundi ya kigaidi hasa Herzebolah ambayo msaada mkubwa wa silaha kwenda kwa.magaidi ulikuwa ukipitia Syria kutoka Iran, inasadikika USA alizuia jeshi kutoka iraq lililokuwa linakuja kumsaidia Asadi na ni wakati mzuri kwa Israel sababu Herzebolah watakosa nguvu.Kuna watu huwa wanawaona waarabu kama hawana akili za kujitegemea.
Sasa Bashir Assad kaondolewa madarakani. Jee kaondolewa na Wasiria peke yao ama hao Wasiria wamesaidiwa na Marekani au Russia?
Kama Russia kwa maslahi gani na kama pia na Marekani, pia ni Kwa maslahi gani?