Waliosaidia Assad apinduliwe ni Russia ama Marekani?

Kaondewa na Israel, baada ya kuwazimisha Hizbullah ambao walikuwa kikwazo. Uturuki na Marekani walikuwa kutoka back up.
 
Mahesabu yake yameanza siku nyingi. Ujasusi umefanya kazi polepole, na baada ya Russia kuvamia Ukraine ndiyo wakaona wamalizie. USA ni namba nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…