Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Yuko Russia na familia yake.
Kama Asaad kakimbilia Russia basi waliopindua hiyo serikali ni Israel akishirikiana na MarekaniYuko Russia na familia yake.
1 +1=2Kama Asaad kakimbilia Russia basi waliopindua hiyo serikali ni Israel akishirikiana na Marekani
Vodka zitamkoma ili kutoa mawazo na Baridi.Yuko Russia na familia yake.
Unao ushahidi kwamba yuko Russia?Yuko Russia na familia yake.
CCM itaendelea kuwepo madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letu.
..............Na amekimbia kifo na hata zile za akhera atazikosa...π€£π€£π€£Vodka zitamkoma ili kutoa mawazo na Baridi.
Ondoa hili kufuru la shibeCCM itaendelea kuwepo madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letu.
..............Na amekimbia kifo na hata zile za akhera atazikosa...π€£π€£π€£
Hata chawa wa Assad pia walikuwa na ndoto kama yako lakini leo Assad ni mkimbizi na atafia ukimbizini na bila shaka atazikwa ukimbizini.CCM itaendelea kuwepo madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letu.
Hilo Zezeta huenda hata Kijijini kwake haliwahi kutoka.Hata chawa wa Assad pia walikuwa na ndoto kama yako lakini leo Assad ni mkimbizi na atafia ukimbizini na bila shaka atazikwa ukimbizini.
Mahesabu yake yameanza siku nyingi. Ujasusi umefanya kazi polepole, na baada ya Russia kuvamia Ukraine ndiyo wakaona wamalizie. USA ni namba nyingine.Kuna watu huwa wanawaona waarabu kama hawana akili za kujitegemea.
Sasa Bashir Assad kaondolewa madarakani. Jee kaondolewa na Wasiria peke yao ama hao Wasiria wamesaidiwa na Marekani au Russia?
Kama Russia kwa maslahi gani na kama pia na Marekani, pia ni Kwa maslahi gani?
Yani muumba abariki ushoga?Unao ushahidi kwamba yuko Russia?
Hizo ni akili za kuambiwa, inabidi uchanganye na za kwako!
GOD BLESS ISRAEL