Richard lugusi
Member
- Jan 15, 2015
- 67
- 8
Habari wanajamvi mimi ni mwalimu niliyehitimu mafunzo ya Ualimu mwaka 2014 na ktk mtihani wangu nilisap masomo manne ambayo ni research,psychology,ICT,na communication skills.
Kwa hiyo wadau kuna taarifa kuwa mwaka huu tunaajiriwa wote coz lengo la serikali kutupeleka jkt hata sisi tuliosap ni kwa lengo la kuajiri walim wote ili kufikia lengo la kumaliza tatzo la uhaba wa walimu mwaka 2015.Je hz tetesi ni za kweli jaman nisaidien mwenzenu npo huku kijijin wanajamv
kama wewe ni mwl wa sayansi kazi utapata....
Habari wanajamvi mimi ni mwalimu niliyehitimu mafunzo ya Ualimu mwaka 2014 na ktk mtihani wangu nilisap masomo manne ambayo ni research,psychology,ICT,na communication skills.
Kwa hiyo wadau kuna taarifa kuwa mwaka huu tunaajiriwa wote coz lengo la serikali kutupeleka jkt hata sisi tuliosap ni kwa lengo la kuajiri walim wote ili kufikia lengo la kumaliza tatzo la uhaba wa walimu mwaka 2015.Je hz tetesi ni za kweli jaman nisaidien mwenzenu npo huku kijijin wanajamv
Mi nmeomba mwenye tetes jaman
Jaman mbona tunakatishana tamaa
Habari wanajamvi mimi ni mwalimu niliyehitimu mafunzo ya Ualimu mwaka 2014 na ktk mtihani wangu nilisap masomo manne ambayo ni research,psychology,ICT,na communication skills.
Kwa hiyo wadau kuna taarifa kuwa mwaka huu tunaajiriwa wote coz lengo la serikali kutupeleka jkt hata sisi tuliosap ni kwa lengo la kuajiri walim wote ili kufikia lengo la kumaliza tatzo la uhaba wa walimu mwaka 2015.Je hz tetesi ni za kweli jaman nisaidien mwenzenu npo huku kijijin wanajamv