Uchaguzi 2020 Walioshindwa CCM ni lulu kwa vyama vya upinzani

Uchaguzi 2020 Walioshindwa CCM ni lulu kwa vyama vya upinzani

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Huu ndio ukweli, vyama vya upinzani havina wagombea wa kutosheleza majimbo yote ya ubunge na kata nchini Tanzania.

Mathalani CHADEMA wapo kwenye majimbo ya mijini tu na wagombea waliopo ni wale waliokuwa wabunge miaka iliyopita. Ndio sababu hadi sasa hakuna ratiba kamili ya lini ni mwisho kwa watia nia kwa wagombea ubunge kuchukua fomu kwenye majimbo mengi. Hili si CHADEMA tu bali hata ACT, CUF, NCCR, CHAUMA nk.

Ni dhahiri watia nia waliochujwa CCM ndio karata pekee iliyobaki kwa vyama vya upinzani ili kushiriki uchaguzi wa ubunge na udiwani sehemu nyingi Tanzania.

Hoja imewekwa mezani
 
Wajumbe wamedisapoint sana kwa kweli, wamefyeka majembe yote
 
Ndugu zangu,

Huu ndio ukweli, vyama vya upinzani havina wagombea wa kutosheleza majimbo yote ya ubunge na kata nchini Tanzania.

Mathalani CHADEMA wapo kwenye majimbo ya mijini tu na wagombea waliopo ni wale waliokuwa wabunge miaka iliyopita. Ndio sababu hadi sasa hakuna ratiba kamili ya lini ni mwisho kwa watia nia kwa wagombea ubunge kuchukua fomu kwenye majimbo mengi. Hili si CHADEMA tu bali hata ACT, CUF, NCCR, CHAUMA nk.

Ni dhahiri watia nia waliochujwa CCM ndio karata pekee iliyobaki kwa vyama vya upinzani ili kushiriki uchaguzi wa ubunge na udiwani sehemu nyingi Tanzania.

Hoja imewekwa mezani
Sababu kubwa ya watu kutojitokeza kugombea kupitia vyama vya upinzani ni kutokuwa na tume huru ya uchaguzi, kutokuwa na sheria, na kanuni zinazofanya uwanja wa ushindani kuwa sawa. Wengi wanaona ni kazi bure kutumia raslimali mahala ambapo matokeo ni hasi.
 
Ndugu zangu,

Huu ndio ukweli, vyama vya upinzani havina wagombea wa kutosheleza majimbo yote ya ubunge na kata nchini Tanzania.

Mathalani CHADEMA wapo kwenye majimbo ya mijini tu na wagombea waliopo ni wale waliokuwa wabunge miaka iliyopita. Ndio sababu hadi sasa hakuna ratiba kamili ya lini ni mwisho kwa watia nia kwa wagombea ubunge kuchukua fomu kwenye majimbo mengi. Hili si CHADEMA tu bali hata ACT, CUF, NCCR, CHAUMA nk.

Ni dhahiri watia nia waliochujwa CCM ndio karata pekee iliyobaki kwa vyama vya upinzani ili kushiriki uchaguzi wa ubunge na udiwani sehemu nyingi Tanzania.

Hoja imewekwa mezani
Basi tunamsubiri Makonda na Kimei huku mtaa wa pili
 
Hatuwezi kukulaumu kwani akili zako ndiyo kikwazo upande wako
Ndugu zangu,

Huu ndio ukweli, vyama vya upinzani havina wagombea wa kutosheleza majimbo yote ya ubunge na kata nchini Tanzania.

Mathalani CHADEMA wapo kwenye majimbo ya mijini tu na wagombea waliopo ni wale waliokuwa wabunge miaka iliyopita. Ndio sababu hadi sasa hakuna ratiba kamili ya lini ni mwisho kwa watia nia kwa wagombea ubunge kuchukua fomu kwenye majimbo mengi. Hili si CHADEMA tu bali hata ACT, CUF, NCCR, CHAUMA nk.

Ni dhahiri watia nia waliochujwa CCM ndio karata pekee iliyobaki kwa vyama vya upinzani ili kushiriki uchaguzi wa ubunge na udiwani sehemu nyingi Tanzania.

Hoja imewekwa mezani
 
Back
Top Bottom