Uchaguzi 2020 Walioshindwa CCM ni lulu kwa vyama vya upinzani

Vyama vya upinzani havina jinsi wala mbadala zaidi ya kuwaomba hao wawasaidie kigombea
 
Serikali na taifa linalo wajibika linatakiwa lifike pahala litunge sheria inayoweka ukomo wa kuhamahama baada ya kalenda ya mchakato wa uchaguzi kuanza. Hii tabia ya wale nyumbu wa Masai Mara ikomeshwe.
 
Hata huko kuna wajumbe.
 

Bila shaka unamaanisha, akina Nassari, Kafulila, Katambi, Mashinji, lijualipole, silinde, nk.

Kwake waziri wa madini atafute masoko tu.
 
Kwahiyo baada ya kupata kura 3 huko chama chakavu unadhani unaweza kupokelewa ACT?
 
WanaCCM halisi watabaki ndani ya CCM na kuhakikisha aliyeshinda kura za maoni anashinda ubunge. Hiyo ndio CCM niijuayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…