kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Mimi nilikuwa fundi rangi lakini sasa kazi za kupaka rangi zimepungua Sana, nina mke, watoto wawili na wazazi wote wako hai wananitegemea. Kodi ya chumba, chakula na maji na umeme vimeninda.
Nifanye kazi gani ingine au nirudi kijijini nilikotoka?
Nifanye kazi gani ingine au nirudi kijijini nilikotoka?