Waliosoma Minaki high school

Waliosoma Minaki high school

Good Father

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
10,321
Reaction score
18,574
Habari zenu wakuu
Leo nimeikumbuka shule yangu niliyosoma Advanced level 2010-11
Nimewakumbuka jamaa zangu, walimu wangu
Mzee Kaaya japo alikua mtata sana(alihama), Mr Chungu, Gerald Mukulu(Bios), Madam Asha(chemistry), baba Ludo( Pure Maths), Engatila(Pure maths),Mwl wilbard (Geo), Madam Bialali aka bambucha (Bios) ila alikua roho mbaya sana huyu etc

Kuna wapishi kama mzee Kinyogori, mzee mwingine naskia lifariki tulimzoea kwa jina father, brother Hamis na wengineo.

Nakumbuka matukio mengi na misukosuko mingi sana katika shule ile.
Kwa waliopitia Minaki katika safari yao ya kutafuta life nawasalimu sana, maisha ya minaki kwa wakati ule ilikua kama maisha plus jamani, maji shida sana nakumbuka maisha ya kufua pond, zamu za kutafuta kuni za kupikia chini ya uongozi wa Kaaya, kufata maji ya kupikia pond dah! Maisha ni safari ndefu
 
Hahahaa bweni linabeba watu kibao lile, lingine shaban Robert,Lumumba, makongoro,Milambo na Nyerere ndo linabeba watu wachache zaid
St. Andrews Minaki mabweni St. Johns, St Simon, St Paul, St Thomas St Augustine na St Lukes
 
Wewe father kafariki?? Lini iyo? Daaaaah Innalillah wainna iyllah Raajiun,
 
Habari zenu wakuu
Leo nimeikumbuka shule yangu niliyosoma Advanced level 2010-11
Nimewakumbuka jamaa zangu, walimu wangu
Mzee Kaaya japo alikua mtata sana(alihama), Mr Chungu, Gerald Mukulu(Bios), Madam Asha(chemistry), baba Ludo( Pure Maths), Engatila(Pure maths),Mwl wilbard (Geo), Madam Bialali aka bambucha (Bios) ila alikua roho mbaya sana huyu etc

Kuna wapishi kama mzee Kinyogori, mzee mwingine naskia lifariki tulimzoea kwa jina father, brother Hamis na wengineo.

Nakumbuka matukio mengi na misukosuko mingi sana katika shule ile.
Kwa waliopitia Minaki katika safari yao ya kutafuta life nawasalimu sana, maisha ya minaki kwa wakati ule ilikua kama maisha plus jamani, maji shida sana nakumbuka maisha ya kufua pond, zamu za kutafuta kuni za kupikia chini ya uongozi wa Kaaya, kufata maji ya kupikia pond dah! Maisha ni safari ndefu
Tutambuane mkuu hata mm team mnyamapala 2010-2011......comb EGM



UNAKUMBUKA KALE KA MGOMO BARIDI
 
Lumumba room2 1999 july-2001. May. Nawapa Hi class/room met zangu wote.

Bila kumsahau Mjomba mjomba a.k.a F sauka MZEE wa kudrop
 
Mimi nilisoma MWAKA 1971-74 mabweni yalikuwa na maji na hayo hayo SHABANI ROBERT. MNYAMPALA. LUMUMBA MAKONGORO NA MKWAWA. Kuna mzee alikuwa night guard tulikuwa tunamwita NAZIMIA sababu ya kuwasha taa jioni na kuzima asubuhi. Waalimu wakùu Mwl ELINAZA nasikia ni marehemu Mwl KATE NDE sijui yuko wapi. Waalimu wengine Mwl Mhango Orji (mnigeria) hap endi maji na ya kiingereza William, curthbert au George) dar asani hamuelewani nilisimsahau Mwl Gorge Mpelumbe yeye ni mjomba wangu tupo naye tunajenga taifa. Lile hall la mikutano tulilifungua wa kati wa graduation MWAKA 1974 ulipigwa muziki a aah. Old is gold
 
Tutambuane mkuu hata mm team mnyamapala 2010-2011......comb EGM



UNAKUMBUKA KALE KA MGOMO BARIDI
Daaah nakumbuka mkuu
That time tulikua F5 ( mi nilikua CBG)
Mgomo ulikua organized na F6
Nashukuru viongozi wa mkoa,wilaya na uongozi wa shule waliu solve kiutu uzima hakuna aliyefukuzwa shule
Nakumbuka hadi faini tuliyolipa ilikua Tsh 3200 kila mwanafunzi ili kuwanusuru waliotajwa katika mgomo wasifukuzwe shule
 
haah Jamilaaa haahh dem wake Zisti na Ely haahh Minaki boy chama lile bn...mix kigodoro kisarawe kule ilkuw hatar...team nyerere dom...
Hahaha yule alikua mama huruma.......zist mpira cku hz hachez anafuga ndevu tu
 
Daaah nakumbuka mkuu
That time tulikua F5 ( mi nilikua CBG)
Mgomo ulikua organized na F6
Nashukuru viongozi wa mkoa,wilaya na uongozi wa shule waliu solve kiutu uzima hakuna aliyefukuzwa shule
Nakumbuka hadi faini tuliyolipa ilikua Tsh 3200 kila mwanafunzi ili kuwanusuru waliotajwa katika mgomo wasifukuzwe shule
Kama ulikua cbg lazma niwe nakufaham mkuu
 
Back
Top Bottom