clixus
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 813
- 628
Inawezekana Kaka sikupingi ila chungu ni kiongoz Safi Sana.Umekuta Mr. Chungu kasharekebisha vitu vingi ndugu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana Kaka sikupingi ila chungu ni kiongoz Safi Sana.Umekuta Mr. Chungu kasharekebisha vitu vingi ndugu yangu
Teacher chungu sijui bado yupoInawezekana Kaka sikupingi ila chungu ni kiongoz Safi Sana.
Mpishi mzee Kinyogori amedumu sana Minaki.Habari zenu wakuu
Leo nimeikumbuka shule yangu niliyosoma Advanced level 2010-11
Nimewakumbuka jamaa zangu, walimu wangu
Mzee Kaaya japo alikua mtata sana(alihama), Mr Chungu, Gerald Mukulu(Bios), Madam Asha(chemistry), baba Ludo( Pure Maths), Engatila(Pure maths),Mwl wilbard (Geo), Madam Bialali aka bambucha (Bios) ila alikua roho mbaya sana huyu etc
Kuna wapishi kama mzee Kinyogori, mzee mwingine naskia lifariki tulimzoea kwa jina father, brother Hamis na wengineo.
Nakumbuka matukio mengi na misukosuko mingi sana katika shule ile.
Kwa waliopitia Minaki katika safari yao ya kutafuta life nawasalimu sana, maisha ya minaki kwa wakati ule ilikua kama maisha plus jamani, maji shida sana nakumbuka maisha ya kufua pond, zamu za kutafuta kuni za kupikia chini ya uongozi wa Kaaya, kufata maji ya kupikia pond dah! Maisha ni safari ndefu
Kumbe umesoma minaki pia?Mpishi mzee Kinyogori amedumu sana Minaki.
Nina miss mihogo ya Minaki, sijawahi ona mihogo mitamu vile
Nawasaka waliosoma Azania na kumalizia mwaka 2000.Habari zenu wakuu
Leo nimeikumbuka shule yangu niliyosoma Advanced level 2010-11
Nimewakumbuka jamaa zangu, walimu wangu
Mzee Kaaya japo alikua mtata sana(alihama), Mr Chungu, Gerald Mukulu(Bios), Madam Asha(chemistry), baba Ludo( Pure Maths), Engatila(Pure maths),Mwl wilbard (Geo), Madam Bialali aka bambucha (Bios) ila alikua roho mbaya sana huyu etc
Kuna wapishi kama mzee Kinyogori, mzee mwingine naskia lifariki tulimzoea kwa jina father, brother Hamis na wengineo.
Nakumbuka matukio mengi na misukosuko mingi sana katika shule ile.
Kwa waliopitia Minaki katika safari yao ya kutafuta life nawasalimu sana, maisha ya minaki kwa wakati ule ilikua kama maisha plus jamani, maji shida sana nakumbuka maisha ya kufua pond, zamu za kutafuta kuni za kupikia chini ya uongozi wa Kaaya, kufata maji ya kupikia pond dah! Maisha ni safari ndefu