Waliosoma Minaki high school

Waliosoma Minaki high school

Habari zenu wakuu
Leo nimeikumbuka shule yangu niliyosoma Advanced level 2010-11
Nimewakumbuka jamaa zangu, walimu wangu
Mzee Kaaya japo alikua mtata sana(alihama), Mr Chungu, Gerald Mukulu(Bios), Madam Asha(chemistry), baba Ludo( Pure Maths), Engatila(Pure maths),Mwl wilbard (Geo), Madam Bialali aka bambucha (Bios) ila alikua roho mbaya sana huyu etc

Kuna wapishi kama mzee Kinyogori, mzee mwingine naskia lifariki tulimzoea kwa jina father, brother Hamis na wengineo.

Nakumbuka matukio mengi na misukosuko mingi sana katika shule ile.
Kwa waliopitia Minaki katika safari yao ya kutafuta life nawasalimu sana, maisha ya minaki kwa wakati ule ilikua kama maisha plus jamani, maji shida sana nakumbuka maisha ya kufua pond, zamu za kutafuta kuni za kupikia chini ya uongozi wa Kaaya, kufata maji ya kupikia pond dah! Maisha ni safari ndefu
Mpishi mzee Kinyogori amedumu sana Minaki.
Nina miss mihogo ya Minaki, sijawahi ona mihogo mitamu vile
 
Habari zenu wakuu
Leo nimeikumbuka shule yangu niliyosoma Advanced level 2010-11
Nimewakumbuka jamaa zangu, walimu wangu
Mzee Kaaya japo alikua mtata sana(alihama), Mr Chungu, Gerald Mukulu(Bios), Madam Asha(chemistry), baba Ludo( Pure Maths), Engatila(Pure maths),Mwl wilbard (Geo), Madam Bialali aka bambucha (Bios) ila alikua roho mbaya sana huyu etc

Kuna wapishi kama mzee Kinyogori, mzee mwingine naskia lifariki tulimzoea kwa jina father, brother Hamis na wengineo.

Nakumbuka matukio mengi na misukosuko mingi sana katika shule ile.
Kwa waliopitia Minaki katika safari yao ya kutafuta life nawasalimu sana, maisha ya minaki kwa wakati ule ilikua kama maisha plus jamani, maji shida sana nakumbuka maisha ya kufua pond, zamu za kutafuta kuni za kupikia chini ya uongozi wa Kaaya, kufata maji ya kupikia pond dah! Maisha ni safari ndefu
Nawasaka waliosoma Azania na kumalizia mwaka 2000.
 
Nilianza kusomea minaki baadaye nikahamia LYAMUNGO SECONDARY SCHOOL iliyoko kilimanjaro baada ya kuona maisha ya minaki yanashabihiana na maisha wa somalia. Kama Kuna mtu amesoma LYAMUNGO SECONDARY SCHOOL anijuze tuyajenge.

Duh mmenikumbisha mbali jameni.
 
Back
Top Bottom